WANASIASA - Kwa Mtindo huu wa Maji kutuwama kila sehemu: MALARIA INAKUBALIKA

FairPlayer

JF-Expert Member
Feb 27, 2006
4,145
716
Wanasiasa wa Tanzania,

Kwakweli nyie ni watu wa ajabu sana. Kila siku mnahubiri mambo ya kusadidika. Barabara karibu zote kubwa TATU zinazoingia Dar city centre kuna either sehemu zimefurika au hazipitiki. Mitaani ndo usiseme kuna picha lukuki sihitaji kuonyesha ushahidi. karibu asilimia 75 ya miundo mbinu Dar es salaam ZIMEFELI.

kimara, Segerea, Buguruni, Mbezi zote, Jangwani, Tabata, Hapa Karaibu na kiwanda cha Serengeti etc kote hoi

Hivi priority yetu ni vyandarua AU mifereji NA MIUNDO MBINU ZA KUKABILIANA NA MALARIA?.

Tuacheni kukubali miradi ambayo haina tija ya kudumu. Mifereji ya maji machafu na mvua zikiwa safi ujue wazi kuwa malaria wanaozaliana watapungua na hata hivyo vyandarua mahitaji yatapungua.

Tutokomeze CHANZO AU VYANZO VYA MALARIA na sio kujaribu ku control mbu waliokwisha kuzalishwa.

KWANINI TUNAZALISHA MBU KISHA TUNATENGENEZA VYANDARUA?

Wanasiasa acheni kuangamiza wananchi.
 
Najaribu kuweka picha hapa naona inakua taabu. Mwenye picha aweke na aseme ni wapi
 
[h=1]Aiming to Eliminate Malaria in Africa[/h]
A new report released by the Roll Back
Malaria Partnership just prior to the opening of the Bill & Melinda
Gates Foundation Malaria Forum in Seattle, reveals that an increasing
number of countries are setting their sights on eliminating malaria,
with three countries already certified as malaria-free by the World
Health Organisation in the last four years.
allAfrica.com: Topical Focus Page: Aiming to Eliminate Malaria in Africa
 
Only four African countries have eliminated malaria so far but
Gambia, Rwanda, Sao Tome and Principe and Madagascar are accelerating
efforts to eradicate it and in southern Africa the disease could
disappear in "the not too distant future," the World Health Organisation
(WHO) said Monday.

In a new report by the Roll Back Malaria Partnership (RBM), "Eliminating Malaria: Learning From the Past, Looking Ahead," top WHO officials note that more than 780,000 people around the world still die from malaria each year.











This is "completely unacceptable for a disease that is entirely
preventable and treatable," say Robert D. Newman, director of WHO's
global programme on malaria, and Zsuzsanna Jakab, WHO regional director
for Europe.

"In 2011, with the highly effective tools we have available, no one
should die from malaria," they said in the report. "Scaling up these
tools is estimated to have saved an estimated 1.1 million lives in
Africa since 2000, with the vast majority of those occurring in the past
five years when scale-up of interventions began in earnest."



w260x.jpg

Tami Hultman/allAfrica

A worker at the A-Z Malaria net factory in Arusha, Tanzania, poses for a photo.









The report was launched in Seattle during the opening of the Bill
& Melinda Gates Foundation Malaria Forum, which runs Monday through
Wednesday. The event, headlined "Optimism and Urgency," includes top
global health leaders from around the world. They include the WHO's
Newman and African leaders of public and private malaria programs, as
well as key drug-industry officials.

Summarizing recent progress in Africa, the RBM report says Lesotho,
Mauritius and the Seychelles are not endemic for malaria, Algeria is in
the third of four stages towards this goal, and Cape Verde in the
second. WHO defines the four stages as: malaria control;
pre-elimination, elimination, and prevention of reintroduction.












"In countries with persistently high transmission rates, markedly
reducing human-mosquito contact, improving access to diagnosis and
treatment and reducing the prevalence of parasites in humans are
critical to achieve the dramatic reductions in transmission that are
required to consider moving towards elimination," the report said.

The Southern African Development Community countries, as well as
other African nations, have announced their aim to eliminate malaria. As
of 2010 the total numbers of reported cases in Botswana, South Africa
and Swaziland were relatively low, raising prospects that malaria could
be eliminated from the region, the report said.

Another four African countries - Gambia, Rwanda, Sao Tome and
Principe and Madagascar - aspire to eliminate malaria and have secured
Global Fund grants to support their efforts.


[h=2]Relevant Links[/h]


"Successful malaria elimination programmes are built on strong
national leadership, commitment to high-quality staffing and programme
delivery, national stability (political and socio- economic), sound
technical approaches that address local malaria biology and evolve with
changing epidemiology, and effective surveillance systems that can
rapidly detect and contain transmission," the report said.

The report added that development is key in achieving progress against malaria.

"History shows that as people's living conditions improve over the
decades, malaria will slowly, steadily and surely recede," the report
said. "Nonetheless, great progress in reducing malaria transmission and
saving lives is already occurring, and programme preparations are being
made for a future drive towards elimination.

allAfrica.com: Africa: No One Should Die From Malaria, Say Experts
 
Kutokana na wanasiasa/viongozi wetu kulemaa akili na kushindwa kufikiri nje ya matumbo yao, miundombinu ya kawaida sana kama mitaro na mifereji ya kupitisha maji machafu na maji ya mvua tumeshindwa kuitengeneza wenyewe,tunasubiri kufanyiwa kwa hisani ya watu wa marekani!!

Subiri jioni kwenye taarifa za habari uwaone wanavyouza nyago kwa kujifanya wanawasikitikia wananchi kutokana na madhila ya mafuriko.
 
Mwita Maranya,

Mie kwa sasa naamini kabisa Malaria haikubaliki ilikua ni dili la watu. Mdomoni malaria haikubaliki moyoni malaria inakubalika.

Wana siasa watu hatari kweli kweli kwa wananchi wa chini wasioweza kuchanganua mambo.
 
Back
Top Bottom