Mbugi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,488
- 257
Nionavyo mimi mjadala unaoendelea unaonekana kutekwa zaidi na wanasiasa kwa kila mmoja kuvutia kwa chama chake na kuona alichoona yeye watu waone ndicho sahihi. Hebu wawaache wananchi kwa fursa iliyopo waseme na watoe maoni yao na si kuwateka na wakati mwingine kuwachanganya