Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,115
- 35,126
Lissu alinukuu maneno ya Profesa Kabudi alisema kuwa aliokotwa na Magufuli jalalani (UDSM!).
Afadhali hata hilo neno la jalalani kalinukuu, kuna maneno mengine akiyanukuu mtasema anatukana.
Hivi unajua wateule wa Magu wamekuwa wakikubali kutukanwa na kuitwa wapumbavu kila mara na aliyewateua.
Afadhali hata hilo neno la jalalani kalinukuu, kuna maneno mengine akiyanukuu mtasema anatukana.
Hivi unajua wateule wa Magu wamekuwa wakikubali kutukanwa na kuitwa wapumbavu kila mara na aliyewateua.