johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Siyo jambo jema kwa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema mh Tundu Lisu kupendelea kutumia neno la " wa majalalani"
Kuna watu wanahusisha neno jalalani na wasomi wa vyuo vikuu hili siyo jambo jema kwa kweli.
Maendeleo hayana vyama!
Kuna watu wanahusisha neno jalalani na wasomi wa vyuo vikuu hili siyo jambo jema kwa kweli.
Maendeleo hayana vyama!