GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,876
1. Mtu ni Mwanasheria kabisa lakini Kuzungumza mbele ya Press huwezi na unabaki Kuhangaika hangaika tu.
2. Hueleweki hata unataka kusema nini mbele ya Press na unabaki Kuzunguka zunguka tu.
3. Ujengaji wako wa Hoja ni wa Kitoto ambao hata tu katika Midahalo ya Shule za Upili (Secondary) huwezi Kuukuta.
4. Hujiamini na unaonekana ni kama vile ama Umetishwa au Ahadi uliyopewa imekuchanganya Akili (Ubongo).
5. Msomi mzima wa Sheria lakini muda wote unaongea na Press uwasilishaji wako umetawaliwa na maneno ya Kihunihuni tupu.
6. Mwanasheria lakini unaogopa Maswali wakati Mwanasheria na Maswali ni kama Lionel Messi na Kufunga Magoli La Liga.
7. Sasa kama ulijua mambo mengine huwezi Kuyatolea Ufafanuzi kwani ulikuwa na Kiherehere cha Kuitisha hiyo Press yako
Nilikuwa siwaelewi wapiga Kura wa 'Cow Way' waliposema kuwa 'huwafai' kabisa, ila kwa Upuuzi uiliotukuka wa leo hii nimeamini ulikuwa hutoshi.
2. Hueleweki hata unataka kusema nini mbele ya Press na unabaki Kuzunguka zunguka tu.
3. Ujengaji wako wa Hoja ni wa Kitoto ambao hata tu katika Midahalo ya Shule za Upili (Secondary) huwezi Kuukuta.
4. Hujiamini na unaonekana ni kama vile ama Umetishwa au Ahadi uliyopewa imekuchanganya Akili (Ubongo).
5. Msomi mzima wa Sheria lakini muda wote unaongea na Press uwasilishaji wako umetawaliwa na maneno ya Kihunihuni tupu.
6. Mwanasheria lakini unaogopa Maswali wakati Mwanasheria na Maswali ni kama Lionel Messi na Kufunga Magoli La Liga.
7. Sasa kama ulijua mambo mengine huwezi Kuyatolea Ufafanuzi kwani ulikuwa na Kiherehere cha Kuitisha hiyo Press yako
Nilikuwa siwaelewi wapiga Kura wa 'Cow Way' waliposema kuwa 'huwafai' kabisa, ila kwa Upuuzi uiliotukuka wa leo hii nimeamini ulikuwa hutoshi.