Wanasiasa hawaaminiki? Ni kweli wana uchungu na nchi?

sabuwanka

JF-Expert Member
Apr 11, 2015
690
751
Wakongwe wa jukwaa hili, nawasilimia shikamoo!

Baada ya shikamoo hiyo, tangu JPM aingie madarakani kumekuwa na wimbi la wanasiasa kuhama kutoka CHADEMA kwenda CCM, CHADEMA kwenda ACT, ACT kwenda CUF, n.k. Wengi wao walipewa ridhaa ya kuongoza katika nafasi za udiwani na ubunge ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Ikiwa kiongozi anahama kabla ya kutimiza majukumu na ahadi yake, basi lazima kutakuwa na mdororo wa mipango ya maendeleo katika kata au jimbo au nafasi aliyokuwa akisimamia maana anajua hatadumu, hapo anapita tu!

Halikadhalika, public figures kama Lowassa na Sumaye waliaminiwa na wafuasi wao, wakahamia CHADEMA, wakaaminisha umma CHADEMA ndicho chama bora kuliko vyote. Wakahama tena toka CHADEMA na kusema watabaki bila vyama.

Kabla hapajakucha, wamerudi tena CCM. Wapo akina Zitto, Maalim Seif na wengine wengi!

Je, wanasiasa hawa ni wa kuwaamini? Ni kweli wana uchungu na nchi hii kama wanavyotuaminisha? Au ni uchungu wa masilahi yao kuguswa?
 
sabuwanka,

Yes, wanasiasa ni watu wa kuwaaminia sana. Hao wanaohama kutoka Chadema kuhamia CCM, ni wanasiasa waliojitambua.
P.
 
Yes wanasiasa ni watu wa kuwaaminia sana. Hao wanaohama kutoka Chadema kuhamia CCM, ni wanasiasa waliojitambua.
P.
Asante kiongozi ngoja nipitie hayo madini uliyonipa.
 
Yes wanasiasa ni watu wa kuwaaminia sana. Hao wanaohama kutoka Chadema kuhamia CCM, ni wanasiasa waliojitambua.
P.
Ukiwa unajua tafsiri muafaka ya neno "kujitambua" nitakuamini sana! Lakini kujitambua ninakokujua ni kuwa mtu wa malengo (objective) kama ni mwanasiasa anayefikiria haki za jamii pana ya watanzania. Mwanasiasa ambaye ni bendera fuata upepo (opportunist) kama hao wanaofuata vyeo na ubunge tu, hao ni mafisi ambayo mizoga ndiyo msosi tosha! Hawahitaji vyakula fresh! so sorry!!
 
Ukiwa unajua tafsiri muafaka ya neno "kujitambua" nitakuamini sana! Lakini kujitambua ninakokujua ni kuwa mtu wa malengo (objective) kama ni mwanasiasa anayefikiria haki za jamii pana ya watanzania. Mwanasiasa ambaye ni bendera fuata upepo (opportunist) kama hao wanaofuata vyeo na ubunge tu, hao ni mafisi ambayo mizoga ndiyo msosi tosha! Hawahitaji vyakula fresh! so sorry!!
Asante
 
sabuwanka,
Mimi naamini watanzania wengi tuna iQ ndogo sana,nasema wengi sio wote na sababu ya kusema hivyo ni kuwa wengi wetu tunatumia muda mwingi kuhangaika na matokeo badala ya kuhangaika na kisababishi. at the end tunaishia kazungumzia ujinga tu kama huu,mwanasiasa haaminiki vipi wakati ndo anaamua mambo mengi yanayohusu maisha yako na unayatii kwa 100% na pale unapokuwa na shida bado unamfuata mwanasiasa huyo huyo,ujinga wetu tuliowengi tunaamini mwanasiasa ni wa Chadema,CUF ,na vyama vingine vya upinzani,we dont think magufuli nae ni mwanasiasa na yeye na chama chake ndo engineers wa hizi siasa za hovyo hapa Tanzania kisa uroho wao wa madaraka na makaburi walimozika kodi zetu,we dont think namna akina Magufuli wanavyotumia pesa zetu hovyo kwa manufaa ya madaraka yao na chama chao,hata pale ambapo kuna dalili zote za rushwa kuhusu kuhama kwamwanasiasa bado tunaishia kumlaumu aliyenunuliwa,but hatujiulizi huyu anayemnunua anamnunua kwa manufaa ya nani na anatumia pesa za nani?poor us.
 
Wakongwe wa jukwaa hili, nawasilimia shikamoo!

Baada ya shikamoo hiyo, tangu JPM aingie madarakani kumekuwa na wimbi la wanasiasa kuhama kutoka CHADEMA kwenda CCM, CHADEMA kwenda ACT, ACT kwenda CUF, n.k. Wengi wao walipewa ridhaa ya kuongoza katika nafasi za udiwani na ubunge ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Ikiwa kiongozi anahama kabla ya kutimiza majukumu na ahadi yake, basi lazima kutakuwa na mdororo wa mipango ya maendeleo katika kata au jimbo au nafasi aliyokuwa akisimamia maana anajua hatadumu, hapo anapita tu!

Halikadhalika, public figures kama Lowassa na Sumaye waliaminiwa na wafuasi wao, wakahamia CHADEMA, wakaaminisha umma CHADEMA ndicho chama bora kuliko vyote. Wakahama tena toka CHADEMA na kusema watabaki bila vyama.

Kabla hapajakucha, wamerudi tena CCM. Wapo akina Zitto, Maalim Seif na wengine wengi!

Je, wanasiasa hawa ni wa kuwaamini? Ni kweli wana uchungu na nchi hii kama wanavyotuaminisha? Au ni uchungu wa masilahi yao kuguswa?
Wana uchungu na wale walio wachache walionyimwa fursa za ufisadi na wanaopata mimba za kujitakia
 
Tuacha kuwaabudu wanasiasa,tupime kauli zao na tuwadhibiti, tuteenda sawa.
Wanasiasa sio malaika wala miungu ni binadamu tu kama binadamu mwingine,na wote wataonja umauti.
Wanastshili kuonja mkono wa sheria pale wanapoenda kinyume na matakwa au matarajio ya wananchi.
 
Wakongwe wa jukwaa hili, nawasilimia shikamoo!

Baada ya shikamoo hiyo, tangu JPM aingie madarakani kumekuwa na wimbi la wanasiasa kuhama kutoka CHADEMA kwenda CCM, CHADEMA kwenda ACT, ACT kwenda CUF, n.k. Wengi wao walipewa ridhaa ya kuongoza katika nafasi za udiwani na ubunge ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Ikiwa kiongozi anahama kabla ya kutimiza majukumu na ahadi yake, basi lazima kutakuwa na mdororo wa mipango ya maendeleo katika kata au jimbo au nafasi aliyokuwa akisimamia maana anajua hatadumu, hapo anapita tu!

Halikadhalika, public figures kama Lowassa na Sumaye waliaminiwa na wafuasi wao, wakahamia CHADEMA, wakaaminisha umma CHADEMA ndicho chama bora kuliko vyote. Wakahama tena toka CHADEMA na kusema watabaki bila vyama.

Kabla hapajakucha, wamerudi tena CCM. Wapo akina Zitto, Maalim Seif na wengine wengi!

Je, wanasiasa hawa ni wa kuwaamini? Ni kweli wana uchungu na nchi hii kama wanavyotuaminisha? Au ni uchungu wa masilahi yao kuguswa?
Kuamini kwenyewe usikuamini, achilia mbali wanasiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni uchungu wa maslahi kuguswa
Wakongwe wa jukwaa hili, nawasilimia shikamoo!

Baada ya shikamoo hiyo, tangu JPM aingie madarakani kumekuwa na wimbi la wanasiasa kuhama kutoka CHADEMA kwenda CCM, CHADEMA kwenda ACT, ACT kwenda CUF, n.k. Wengi wao walipewa ridhaa ya kuongoza katika nafasi za udiwani na ubunge ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Ikiwa kiongozi anahama kabla ya kutimiza majukumu na ahadi yake, basi lazima kutakuwa na mdororo wa mipango ya maendeleo katika kata au jimbo au nafasi aliyokuwa akisimamia maana anajua hatadumu, hapo anapita tu!

Halikadhalika, public figures kama Lowassa na Sumaye waliaminiwa na wafuasi wao, wakahamia CHADEMA, wakaaminisha umma CHADEMA ndicho chama bora kuliko vyote. Wakahama tena toka CHADEMA na kusema watabaki bila vyama.

Kabla hapajakucha, wamerudi tena CCM. Wapo akina Zitto, Maalim Seif na wengine wengi!

Je, wanasiasa hawa ni wa kuwaamini? Ni kweli wana uchungu na nchi hii kama wanavyotuaminisha? Au ni uchungu wa masilahi yao kuguswa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sabuwanka,

Yes, wanasiasa ni watu wa kuwaaminia sana. Hao wanaohama kutoka Chadema kuhamia CCM, ni wanasiasa waliojitambua.
P.
Kwa hiyo wote wakihamia CCM itakuwa kwamba wamejitambua na wanachofanya ni sahihi hata kama hatimaye CCM watabakia peke yao bungeni?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
sabuwanka,

Yes, wanasiasa ni watu wa kuwaaminia sana. Hao wanaohama kutoka Chadema kuhamia CCM, ni wanasiasa waliojitambua.
P.
Siyo kama wanarudi kwenye pango la majizi?
FB_IMG_1581491063368.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
sabuwanka,

Yes, wanasiasa ni watu wa kuwaaminia sana. Hao wanaohama kutoka Chadema kuhamia CCM, ni wanasiasa waliojitambua.
P.
Bora nicheke ya kulia tumeshalia Sana Sasa inatosha
 
sabuwanka,
Mimi naamini watanzania wengi tuna iQ ndogo sana,nasema wengi sio wote na sababu ya kusema hivyo ni kuwa wengi wetu tunatumia muda mwingi kuhangaika na matokeo badala ya kuhangaika na kisababishi. at the end tunaishia kazungumzia ujinga tu kama huu,mwanasiasa haaminiki vipi wakati ndo anaamua mambo mengi yanayohusu maisha yako na unayatii kwa 100% na pale unapokuwa na shida bado unamfuata mwanasiasa huyo huyo,ujinga wetu tuliowengi tunaamini mwanasiasa ni wa Chadema,CUF ,na vyama vingine vya upinzani,we dont think magufuli nae ni mwanasiasa na yeye na chama chake ndo engineers wa hizi siasa za hovyo hapa Tanzania kisa uroho wao wa madaraka na makaburi walimozika kodi zetu,we dont think namna akina Magufuli wanavyotumia pesa zetu hovyo kwa manufaa ya madaraka yao na chama chao,hata pale ambapo kuna dalili zote za rushwa kuhusu kuhama kwamwanasiasa bado tunaishia kumlaumu aliyenunuliwa,but hatujiulizi huyu anayemnunua anamnunua kwa manufaa ya nani na anatumia pesa za nani?poor us.
Asante mchango maridhawa
 
Tuacha kuwaabudu wanasiasa,tupime kauli zao na tuwadhibiti, tuteenda sawa.
Wanasiasa sio malaika wala miungu ni binadamu tu kama binadamu mwingine,na wote wataonja umauti.
Wanastshili kuonja mkono wa sheria pale wanapoenda kinyume na matakwa au matarajio ya wananchi.
Kukua kwa demokrasia ndipo kunaweza kufanya wanasiasa kuadibishwa kwa makosa yao, kwa nchi za ulimwengu wa tatu Safari bado kwa kuwa hata hatua ya demokrasia tuliyonayo sio Kama ya nchi zilizoendelea
 
Kukua kwa demokrasia ndipo kunaweza kufanya wanasiasa kuadibishwa kwa makosa yao, kwa nchi za ulimwengu wa tatu Safari bado kwa kuwa hata hatua ya demokrasia tuliyonayo sio Kama ya nchi zilizoendelea
Tuache kuwaabudu ni binadamu kama wewe na mimi.
 
Back
Top Bottom