BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Hii fani imeingiliwa, wanasheria wa sasa hivi wamepoteza maadili kabisa ya kazi ni wote mawakili na mahakimu hakuna wenye afadhali wote baba mmjoa mama mmjoa.
Kwa mfano katika miji mikubwa mawakili ndio wamegeuka madalali wa kuuza viwanja, magari, mashamba na nyumba. Na ukija kwenye maswala ya mahakama wao kazi ni kupiga deal na mahakimu tu.
Mimi nawashauri nyie fanyeni kazi maswala ya hela yatakuja tu
Nawakilisha
Kwa mfano katika miji mikubwa mawakili ndio wamegeuka madalali wa kuuza viwanja, magari, mashamba na nyumba. Na ukija kwenye maswala ya mahakama wao kazi ni kupiga deal na mahakimu tu.
Mimi nawashauri nyie fanyeni kazi maswala ya hela yatakuja tu
Nawakilisha