Ni wazi mchezo uliotumika kuwaingiza wabunge wateuliwa akiwemo mfungwa kwenye bunge la Tanzania hauwezi kufumbiwa macho, sasa uangaliwe utaratibu wa kufungua mashtaka dhidi ya mechi nzima utafutwe uharamu au uhalali wake.
Kama CHADEMA wanajiridhisha kuwa kuna sahihi zimefojiwa,kuna mtu amehudhurisha majina bila ya idhini ya Chama,hilo ni kosa kubwa sana la jinai ni sawa na hela ya Chdema kutolewa benki kwa kutumia nyaraka feki ikiwemo mihuri ya Chama.
Je inawezekana kufunguliwa mashitaka dhidi ya wahusika ? Au wapo juu ya sheria na hawawezi kufunguliwa mashtaka ?
Hata kama imani ya kusikilizwa ni ndogo lakini historia huandikwa na kumbukumbu kuweka kuna walioshirki vita na Adolph Hitler mpaka miaka ya karibuni iliyopita wamefikishwa mahakamani.
Chupuchupu marais na viongozi wa Tanzania wapandishwa mahakamani na utawala huu wa Magufuli ,hivyo huko tuendako si ajabu akatokea au ukatokea uongozi utaoweza kuwafikisha viongozi waliopita kizimbani na kujibu mambo kama haya yanayotokea leo.
Chadema funguweni kesi.
Kama CHADEMA wanajiridhisha kuwa kuna sahihi zimefojiwa,kuna mtu amehudhurisha majina bila ya idhini ya Chama,hilo ni kosa kubwa sana la jinai ni sawa na hela ya Chdema kutolewa benki kwa kutumia nyaraka feki ikiwemo mihuri ya Chama.
Je inawezekana kufunguliwa mashitaka dhidi ya wahusika ? Au wapo juu ya sheria na hawawezi kufunguliwa mashtaka ?
Hata kama imani ya kusikilizwa ni ndogo lakini historia huandikwa na kumbukumbu kuweka kuna walioshirki vita na Adolph Hitler mpaka miaka ya karibuni iliyopita wamefikishwa mahakamani.
Chupuchupu marais na viongozi wa Tanzania wapandishwa mahakamani na utawala huu wa Magufuli ,hivyo huko tuendako si ajabu akatokea au ukatokea uongozi utaoweza kuwafikisha viongozi waliopita kizimbani na kujibu mambo kama haya yanayotokea leo.
Chadema funguweni kesi.