Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,932
- 32,341
- Thread starter
- #21
Wewe una wasiwasi gani? Makamanda wetu si walala hoi kama unavyofikiri. Think big acha kuwaza small issues. Lema is a hard working Man , ni mjasiriamali. Hakuingia bungeni kuganga njaa.
Mie sina wasiwasi nimeuliza ili kujua hatima ya pesa zetu Watanzania zitalipwa vipi?