Wanasheria tusaidieni mikopo ya Lema na kiinua mgongo bungeni itakuaje

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,884
32,282
Wanabodi,
Baada ya Mahakama Kuu kanda ya Arusha kumvua ubunge Godbless Lema jimbo la Arusha Mjini.

Tunaomba wanasheria wetu watufahamishe hatima ya Lema kwenye mikopo yake wakati alipokuwa mbunge itakuaje.

Lema alikopa Sh90 milioni kwa ununuzi wa gari, pia alikopa Sh50 milioni kama mkopo binafsi...hizi pesa zitalipwa vipi wakati hayupo tena bungeni.

Na bunge litampa kiinua mgongo cha Sh43 milioni kama wanavyopewa wabunge wengine wakimaliza vipindi vyao vya miaka mitano bungeni.
 
Hayakuhusu....... mkopo ni makubaliano kati ya mkopaji na mkopeshwaji, terms & condition wanakubaliana wao wenyewe na wanasaini, wewe unawashwa na nini? mbona utuelezi hapa pesa za rada zimeshafika au bado na mgawo wake ukoje?
 
Ritz,
tutamlipia kupitia M4C contribution, infact bado tunawasubiri wakuu watupe taarifa za mapato na matumizi kwa michango yetu naona kama wanazunguka zunguka.
 
Ritz,
tutamlipia kupitia M4C contribution, infact bado tunawasubiri wakuu watupe taarifa za mapato na matumizi kwa michango yetu naona kama wanazunguka zunguka.
Tunahitaji maelezo ya chenji ya Rada na zile pesa za EPA zilipokwenda na sio propaganda mavi.
 
CCM bana, yani mawazo yenu ni posho, pesa et al. Fahamu tu kwamba Lema ni mfanyabiashara kabla hata ya kuwa mbunge kwa hiyo hashindwi kulipa mikopo mbuzi kama hiyo!!!
 
Ritz,
tutamlipia kupitia M4C contribution, infact bado tunawasubiri wakuu watupe taarifa za mapato na matumizi kwa michango yetu naona kama wanazunguka zunguka.

Mlitunga thread ya uongo kuhusu fedha za Sabodo,muda si mrefu akawa prove wrong,sasa hv mnaleta tena gossip nyingine,tatizo la wana magamba wengi they dont think big,they always dwelling on hisia,umbea,and negetavity badala ya ku consider issues in the positive ways!
 
Mlitunga thread ya uongo kuhusu fedha za Sabodo,muda si mrefu akawa prove wrong,sasa hv mnaleta tena gossip nyingine,tatizo la wana magamba wengi they dont think big,they always dwelling on hisia,umbea,and negetavity badala ya ku consider issues in the positive ways!

Mkuu kweli ni kosa kwa mimi mwana CDM kuulizia mapato na matumizi kwa chama changu? mbona mlituchangisha vizuri! ni muhimu tukajua michango yetu tuliotoa ARUMERU imetumika vipi.
 
Wanabodi,
Baada ya Mahakama Kuu kanda ya Arusha kumvua ubunge Godbless Lema jimbo la Arusha Mjini.

Tunaomba wanasheria wetu watufahamishe hatima ya Lema kwenye mikopo yake wakati alipokuwa mbunge itakuaje.

Lema alikopa Sh90 milioni kwa ununuzi wa gari, pia alikopa Sh50 kama mkopo binafsi...hizi pesa zitalipwa vipi wakati hayupo tena bungeni.

Na bunge litampa kiinua mgongo cha Sh43 milioni kama wanavyopewa wabunge wengine wakimaliza vipindi vyao vya miaka mitano bungeni.

Sa hiyo atashindwaje kulipa wakati hata bazoka hainunui?
 
Mkuu kweli ni kosa kwa mimi mwana CDM kuulizia mapato na matumizi kwa chama changu? mbona mlituchangisha vizuri! ni muhimu tukajua michango yetu tuliotoa ARUMERU imetumika vipi.

Haya mkuu,tumeshawazoea nyie!hata mimi mwana C.C.M sijui kwa nini kila nikitaka kujua madudu yanayofanywa na chama changu sipewi jibu!madudu kama wizi wa rasilimali,mikataba mibovu,kupanda kwa gharama za maisha,kushuka kiwango cha elimu,n.k yamekisababishia mpaka chama changu kimepoteza mvuto kwa wananchi matokeo yake wananchi wanaanzi kuviamini vyama vya upinzani!
 
Wanabodi,
Baada ya Mahakama Kuu kanda ya Arusha kumvua ubunge Godbless Lema jimbo la Arusha Mjini.

Tunaomba wanasheria wetu watufahamishe hatima ya Lema kwenye mikopo yake wakati alipokuwa mbunge itakuaje.

Lema alikopa Sh90 milioni kwa ununuzi wa gari, pia alikopa Sh50 kama mkopo binafsi...hizi pesa zitalipwa vipi wakati hayupo tena bungeni.

Na bunge litampa kiinua mgongo cha Sh43 milioni kama wanavyopewa wabunge wengine wakimaliza vipindi vyao vya miaka mitano bungeni.

Wewe una wasiwasi gani? Makamanda wetu si walala hoi kama unavyofikiri. Think big acha kuwaza small issues. Lema is a hard working Man , ni mjasiriamali. Hakuingia bungeni kuganga njaa.
 
Milioni 50 alizokopa Lema pamoja na shangingi nani hatazilipa ni kodi zetu Watanzania.
 
Hayakuhusu....... mkopo ni makubaliano kati ya mkopaji na mkopeshwaji, terms & condition wanakubaliana wao wenyewe na wanasaini, wewe unawashwa na nini? mbona utuelezi hapa pesa za rada zimeshafika au bado na mgawo wake ukoje?

Hayanuhusu vipi wakati naulizia kodi zetu.
 
Ritz,
tutamlipia kupitia M4C contribution, infact bado tunawasubiri wakuu watupe taarifa za mapato na matumizi kwa michango yetu naona kama wanazunguka zunguka.

Shangingi milioni 90 mkopo binafsi milioni 50 jumla milioni 140...serikali itazipataje hizi pesa za walipa kodi?
 
D

Duh! unatia aibu. Nimekwambia think big achana na small issues. Ebu tupe CV yako isije ikawa tunasumbuliwa na kihiyo.

CV yangu itakusaidia nini mkuu ipo kama ya Kamanda Mbowe.
 
Back
Top Bottom