majutobeach
JF-Expert Member
- Aug 10, 2016
- 212
- 164
Utakuta imetokea ajali ya gari na mwendesha pikipiki au chombo chochote cha Moto na katika ajali hiyo chukulia imesababishwa na marehemu kutokana na mchoro wa trafic lakini Mimi dereva ambaye sikuwa na kosa la kiuendeshaji nachukuliwa na kuwekwa mahabusu nakuambiwa kuwa nimeua.
Mfano mwendesha pikipiki kaingia kwenye lori Tena kwa nyuma lakini Mimi dereva wa lori nitachukuliwa nakuwekwa mahabusu na kusumbuliwa na hawa wezetu wenye mamlaka za kisheria na hutotoka mahabusu mpaka uwe umetoa kitu kidogo ndipo watakapo kutoa na kukueleza kuwa huna kosa mwenye kosa ni marehemu hii ni haki kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano mwendesha pikipiki kaingia kwenye lori Tena kwa nyuma lakini Mimi dereva wa lori nitachukuliwa nakuwekwa mahabusu na kusumbuliwa na hawa wezetu wenye mamlaka za kisheria na hutotoka mahabusu mpaka uwe umetoa kitu kidogo ndipo watakapo kutoa na kukueleza kuwa huna kosa mwenye kosa ni marehemu hii ni haki kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app