Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,536
Sina mpango wa kuwa wakili yaani kwenda field tu court na kukikuta kibabu kinatamka mheshimiwa hakimu huwa "sijisikii poa" yaani sins stimu na mahakama.....Wacha weeeeh! Big up Mkuu.
Sasa Mkuu kama upo njema kwenye sheria unaonaje ile siku ya mwisho ukawa wakili wangu?Maana sidhani kama nitatendewa haki kwa kweli.