1. Je mamlaka za wilaya kama District councils, City/Municipal councils district and Town councils ana mamlaka nyingne za aina hiyo kwenye ardhi zinaruhusiwa kuingia kwenye unsurveyed land na kufanya mapimo kama vile kutenga barabara, au kufanya jambo lolote bila mhusika kuwa consulted?
2. Sheria inasemaje kuhusu hilo?
3. Cause of action yangu ni ipi nikienda mahakamani,.
2. Sheria inasemaje kuhusu hilo?
3. Cause of action yangu ni ipi nikienda mahakamani,.