Wanasheria naomba mwongozo katika hili jambo

LITA2019

JF-Expert Member
Dec 18, 2019
487
1,025
Mwaka 2015 kuna mzee aliniambia anauza viwanja 1.5m, alikua na eneo kubwa akasema anafuatilia taratibu za kukamilisha upimaji hivyo wanaotaka walipie kabisa ili majina yakitoka yatoke kwa majina yetu.

Kwa vile alieletwa na rafiki yangu ninaemjua nami nikaenda kuangalia eneo, nikaridhika tukaenda kwa mwanasheria kuandikishiaba mkataba na kusubiri majina yatoke, ikiwa mimi, yule rafiki yangu na wengine kama 6 hivi ambao sijathibisha uwepo wao kila mmoja alilipia kiwanja kimoja kwa 1.5m.

Tangu 2015 mpaka leo nlichopata ni huu mkataba tu wa mwanasheria bali hakuna kitu kiitwacho kiwanja. Nimewasilina nao kadri ya uwezo wangu mpaka leo hakuna dalili yeyote ile, tangu walikua wananipa tarehe mpaka sasa 2021 hawapokei cm/kujibu ujumbe nami nishahamia mkoa mwingne kimajukumu! Je naweza kwenda polisi/mahakamani na ushaihidi wa mkataba huu kudai haki yangu?

Nawasilisha.


Pole Sana unaweza kwenda polisi ukaifanya kuwa criminal case ingawa mara nyingi hatushauri wateja wetu wafungue hivyo lakini unaweza fungua civil case au madai ambayo itakuwa issue ya Breach of contract then uta claim damage utalipwa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku nyingine andika kichwa cha mada kwa herufi ndogo. Ni hilo tu. Mimi siyo mwanasheria. Ni mwalimu wa lugha. Wanasheria watakuja..
 
Mwaka 2015 kuna mzee aliniambia anauza viwanja 1.5m, alikua na eneo kubwa akasema anafuatilia taratibu za kukamilisha upimaji hivyo wanaotaka walipie kabisa ili majina yakitoka yatoke kwa majina yetu.

Kwa vile alieletwa na rafiki yangu ninaemjua nami nikaenda kuangalia eneo, nikaridhika tukaenda kwa mwanasheria kuandikishiaba mkataba na kusubiri majina yatoke, ikiwa mimi, yule rafiki yangu na wengine kama 6 hivi ambao sijathibisha uwepo wao kila mmoja alilipia kiwanja kimoja kwa 1.5m.

Tangu 2015 mpaka leo nlichopata ni huu mkataba tu wa mwanasheria bali hakuna kitu kiitwacho kiwanja. Nimewasilina nao kadri ya uwezo wangu mpaka leo hakuna dalili yeyote ile, tangu walikua wananipa tarehe mpaka sasa 2021 hawapokei cm/kujibu ujumbe nami nishahamia mkoa mwingne kimajukumu! Je naweza kwenda polisi/mahakamani na ushaihidi wa mkataba huu kudai haki yangu?

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Sana unaweza kwenda polisi ukaifanya kuwa criminal case ingawa mara nyingi hatushauri wateja wetu wafungue hivyo lakini unaweza fungua civil case au madai ambayo itakuwa issue ya Breach of contract then uta claim damage utalipwa
 
Pole Sana unaweza kwenda polisi ukaifanya kuwa criminal case ingawa mala nyingi hatushauri wateja wetu wafungue hivyo lkn unaweza fungua civil case au madai ambayo itakuwa issue ya Breach of contract then uta claim damage utalipwa
Kwa maelezo zaidi nitafute
 
Back
Top Bottom