Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,072
- 18,258
Kwenu wasomi wansheria, sijui tofauti ya hizi kesi mbili.
Mfano mtu kafoji document ili apate mkopo bank, au auze property ambayo haipo , kwa lugha rahisi amejipatia fedha kwa njia ya udanganyifu. Je, huyu anaweza funguliwa kesi ya uhujumu uchumi?
Msaada wenu.
Mfano mtu kafoji document ili apate mkopo bank, au auze property ambayo haipo , kwa lugha rahisi amejipatia fedha kwa njia ya udanganyifu. Je, huyu anaweza funguliwa kesi ya uhujumu uchumi?
Msaada wenu.