Wanasheria na mawakili wanaishi maisha magumu sana ukilinganisha na kozi zingine lakini bado wanazuga kwao mbambo yapo sawa.

Marashi

JF-Expert Member
Apr 14, 2018
2,774
4,269
Majigambo ya ni kama hauna hela mfukoni mheshimiwa wakili??!

Bora mwanangu akasome ufundi mchundo VETA kuliko nimpeleke akasome kozi ya sheria. Vijana wetu pale law school na kwenye vyuo vingine aisee hii kozi ndo inawachanganya wanajiona kama wameshinda bet maskini ya Mungu.

Na mbaya zaidi wanasheria ni kati ya kada yenye wanafiq wakubwa wanaojua kugeza maisha na wanauficha ukali wa maisha unaowakabili. Pamoja na kwamba tunawaona wanahangaika sana ajira hamna wamejishkiza kwenye vi-law firm uchwara, wanavaa visuti vya kuungaunga lkn hapohapo kwa mienendo na mikogo yao wanauhakikishia umma siku zote kwamba maisha kwa wanasheria ni smooth kabisa.

Huu ni usanii hatari una mislead watoto wetu wanakimbilia sheria. Jirekebisheni, lieni na wanaolia kwakua nyie pia ni sehemu ya jamii inayoteseka.
 
Akili nyingine bwana, unawalazimisha waishi utakavyo wewe eti wanaigiza..
Kama ni vi law firm uchwara, visuti uchwara na maisha ya kuigiza wewe unapata hasara gani?
Yaani wanasheria hawajui jinsi ya kuishi ila wewe ndio unajua waishi vip wakati hawaishi kwenu/kwako.
Hebu kua acha utoto, mbona hao unaoita watoto wenu mnafanana akili?
 
Majigambo ya ni kama hauna hela mfukoni mheshimiwa wakili??!

Bora mwanangu akasome ufundi mchundo VETA kuliko nimpeleke akasome kozi ya sheria. Vijana wetu pale law school na kwenye vyuo vingine aisee hii kozi ndo inawachanganya wanajiona kama wameshinda bet maskini ya Mungu.

Na mbaya zaidi wanasheria ni kati ya kada yenye wanafiq wakubwa wanaojua kugeza maisha na wanauficha ukali wa maisha unaowakabili. Pamoja na kwamba tunawaona wanahangaika sana ajira hamna wamejishkiza kwenye vi-law firm uchwara, wanavaa visuti vya kuungaunga lkn hapohapo kwa mienendo na mikogo yao wanauhakikishia umma siku zote kwamba maisha kwa wanasheria ni smooth kabisa.

Huu ni usanii hatari una mislead watoto wetu wanakimbilia sheria. Jirekebisheni, lieni na wanaolia kwakua nyie pia ni sehemu ya jamii inayoteseka.
Una Bahat hukuzaliwa sumbawanga ungekua mchawi yaan una wivu sjawai ona
 
But, ndio hivyo, maan wanasheria ndio wamemeza hiyo ni staili yao ya maisha hata kama kwa sikku anapokea shilingi 2000,

Tofauti na walimu ambao hata kama kwa siku analipwa 30, 000 mindset yake ipo.... ku akisi maisha ya hali ya chini
 
kada gani wenye ahueni ya maisha ili tuwahimize watoto/wadogo zetu wakasomee?
 
Ndugu,

Kuwa na heshima na taaluma za watu.

Swala la ajira limekuwa ttizo kila mahala,pia kwa mtu kujishikiza ktika law firm yoyote sio vibaya, kwani ndio mwanzo wa maisha tu.ama we unafikiri watu wanapata uzoefu tu kwa kuzubaa nyumbani tuu?

pia swala la dress code wewe linakuuma nini?kwani kuvaa suti ni vibaya? na kama unaona ni vibaya basi ivaa wewe wew uonekane umevaa suti


unastaajabisha ndugu,hebu jitathimini kwa kina usije ukayaona ya firauni.
 
hawa wanasheria huwa wanakuwa wapole pale wanapokutana na mtu anayejua kupiga ngumi
Hawa jamaa lugha pekee wanayoielewa ni matumizi ya nguvu hasa risasi rejea tukio la kule area d
 
Ukweli mawakili wa Dar wana hali mbaya sana na mawakili wa Arusha wanaongoza kwa utajiri.


Lakini pia Mawakili toka Tumaini University wapo vilaza sana hata wakija mbele yangu mahakamani nawaonea huruma.
 
Back
Top Bottom