Wanasheria Mtanisaidiaje nifungue Kesi ya Kikatiba kutafsiri neno dhaifu ili tuinusuru hii mihimili

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wana Bodi,

Ni muda sasa malumbano hafiki mwisho, hatutaki kujua nani zaidi bali tuoondoe uonevu unaoweza kuufanya mhimili mwingine kuonekana huko juu ya sheria. Speaker Ndugai inatumia nguvu nyingi kuionyesha dunia kuwa kiti chake kipo juu ya sheria kwa kulazimisha mambo ya kikatiba kuingiliwa mbali na vifungu vinavyolinda kiti cha CAG lakini bado anamuhususha hata Rais aingie katika mgogoro huu ambao ni kati ya utaalam na uanasiasa. Mimi naona wengi wamekaa kimya, wako wapi watetezi wa haki. Tunajua kuwa hawa viongozi wote ni wa chama tawala, lakini kumekuwepo na vijigazeti vya kufungia maandazi vinafunguliwa kila leo kudidimiza juhudi za wanaotaka kututoa kwenye udhaifu wa mdororo wa uchumi. Hawa wakina Musiba sijui walikula nini kila siku ni kutunga uongo kuandama mtu mmoja kama vile wametumwa.

Ikiwa Prof. Assad atajihudhuru kwa kulazimishiwa neno dhaifu lionekane kama tusi , basi, tutakosa mengi, kwani wajo watakuwa waoga kuonyesha ukweli kwa sehemu pesa zilizokwapuliwa. tena Prof. ikiwa hatajiudhuru basi hatakuwa amepunguziwa ulinzi na wale mafisadi aliowataja kwenye report wanaweza kumdhuru. Hasa hawa poliz.
 
Unatafuta tafsiri ya neno ukiwa tayari na upande wako,na matarajio yako yawe uwazavyo na si kutafuta suluhu ukiwa huru
Wana Bodi,

Ni muda sasa malumbano hafiki mwisho, hatutaki kujua nani zaidi bali tuoondoe uonevu unaoweza kuufanya mhimili mwingine kuonekana huko juu ya sheria. Speaker Ndugai inatumia nguvu nyingi kuionyesha dunia kuwa kiti chake kipo juu ya sheria kwa kulazimisha mambo ya kikatiba kuingiliwa mbali na vifungu vinavyolinda kiti cha CAG lakini bado anamuhususha hata Rais aingie katika mgogoro huu ambao ni kati ya utaalam na uanasiasa. Mimi naona wengi wamekaa kimya, wako wapi watetezi wa haki. Tunajua kuwa hawa viongozi wote ni wa chama tawala, lakini kumekuwepo na vijigazeti vya kufungia maandazi vinafunguliwa kila leo kudidimiza juhudi za wanaotaka kututoa kwenye udhaifu wa mdororo wa uchumi. Hawa wakina Musiba sijui walikula nini kila siku ni kutunga uongo kuandama mtu mmoja kama vile wametumwa.

Ikiwa Prof. Assad atajihudhuru kwa kulazimishiwa neno dhaifu lionekane kama tusi , basi, tutakosa mengi, kwani wajo watakuwa waoga kuonyesha ukweli kwa sehemu pesa zilizokwapuliwa. tena Prof. ikiwa hatajiudhuru basi hatakuwa amepunguziwa ulinzi na wale mafisadi aliowataja kwenye report wanaweza kumdhuru. Hasa hawa poliz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijahukumu bali nami ninaomba maelezo ya Asad Prof. aliyoyatoa kwenye kamati tuone walivyafikiana, Bunge linaweza kumwonea kwa sababu ndilo linajifanya TUKI kwa ufafanusi wao mpaka wanfikia hali hii.
Hili neno kwa matazamo wa kawaida akiitwa mtu lazima achukie


Ila huyu Assad amesema kwa tafsiri ya kihasibu ni neno la kawaida

Sasa sijui kama mahakama itakuwa tayari kwenda kusoma vitabu vya kihasibu ili ije na tafsiri sahihi
 
Back
Top Bottom