johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,742
- 141,604
Tunakumbushana tu watu walioamua kusoma sheria pale OUT kama taaluma ya ziada ndio wamekuwa wanasheria mahiri sana nchini
Na wale waliokaza mishipa na HGL/ HGK zao pale The hill ndio mawakili wanaotamba zaidi hapa mjini
Sijaelewa kwanini inakuwa hivi!
Na wale waliokaza mishipa na HGL/ HGK zao pale The hill ndio mawakili wanaotamba zaidi hapa mjini
Sijaelewa kwanini inakuwa hivi!