LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,139
- 11,151
Wakuu bosi wangu anataka kuniweka matatani kwa kunibebesha fedha kiasi kikubwa kupelekea wafanyakazi mishahara site sasa tumekaa na nimeona ananiweka kwenye risk kubwa ya kuvamiwa na kuibiwa au kupoteza uhai
Wanasheria nisaidieni kifungu cha sheria kinachombana mwajiri kulipa mfanyakazi mshahara kupitia benki ili nikiweke hapa kwenye barua ya kumlazimisha kutoka kwa wafanyakazi walio hapa site
Wanasheria na Ma HR msaada wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasheria nisaidieni kifungu cha sheria kinachombana mwajiri kulipa mfanyakazi mshahara kupitia benki ili nikiweke hapa kwenye barua ya kumlazimisha kutoka kwa wafanyakazi walio hapa site
Wanasheria na Ma HR msaada wenu
Sent using Jamii Forums mobile app