Wanashangilia mazingaombwe na wanasifia viini macho! ... Silly People!

Tatizo kubwa la Watanzania wengi MMM, ni wasahaulifu na hawana maamuzi!!

Unataka nani afanye hayo maamuzi si ulianzishe basi ili tujue wewe hauko miongoni mwa hao wasahaulifu.

Na MMM why usijitokeze wazi upigane vita na sisi tukufuate badala tu ya kuwataka wengine (wapinzani) ndo wajitokeze daima kujitoa sadaka..kwani nchi hii ni ya wapinzani pekee yao ambao wanataka maisha bora. Umefika wakati kama tuko kweli serious na tuanaaka mema kwa taifa hili twende hadharani tutoke huku JF na majina ya bandia tukapambane kwa ajili ya kizazi hiki na vijavyo na tupunguze sintofahamu hii....
 
Watanzania bado tuna ile hulka ya kuwa na imani na serikali.Sidhani kama kiukweli wananchi wameshawahi ku picture serikali ya tofauti.Hata kama haya yanayotokea,serikali huwa haionekani kwamba yote ni mbaya,sasa hapo sijui ni uelewa tu ama vipi.

Kwahiyo na mapro status quo ndo maana huwa hawachelewi kuja humu kusema JK ameruhusu uhuru wa vyombo vya habari,so kwa upande mwingine ni kwamba wanamanisha kuwa serikali haitajisumbuwa kuhusiana na kila habari zinazoandikwa magazetini,na hivyo kujenga sura mbele za macho ya wananchi kwamba hayo yote ni uzushi.

Serikali inapokuwa haichukui hatua,na kuamuwa kuzimaliza hizo issue kisiasa kwa kuwatumia wengine either kummaliza ama kumvuta na yeye kumneutralise.Yote hayo yanawafanya wananchi kusoma habari hizo kama novel tu.

Kama wananchi wangekuwa wana uwezo wa kuona uhusiano wa yanayotokea na uwezo mbovu wa serikali kuongoza,nadhani ccm wangeshaibwaga zamani.Ama pengine wengi wao siyo wapiga kura.Rwanda nasikia asilimia 96 ya wananchi wake walipiga kura,sasa hapo ndo utajuwa wananchi walioamuwa,sisi bado ni a joke.

Tanzania inatia huruma,lakini wananchi hawajui hilo,hawajui kuwa wanatia huruma sana tu.Ni muhimu sana kuanza upya,how ndo swali.
 
jitu likiwa ndani ya mjengo linajifanya linawalipua wenzie kumbe kwa sababu yy hakupewa kitengo,now kapewa katupiga,prakatatumbra,shame on him,alafu anataka awe raisi,kelele nyiiingi kumbe nalo jiziiiiiii,nakusapoti mwanakijiji,masuala makubwa kama haya hayapaswi kuishia hapa,uchunguzi wa kina ufanywe na wakipatikana na hatia,wafikishwe mahakamani na wafungwe,wahujumu uchumi wakubwa hawa,halafu wengine wanajifanya wapo mfungoni,dhihaka hz,nimemshusha mno kumbe ni domo pelepwetapweta tu
 
Ndugu MM. kwa heshima natambuwa uwepo wako kwenye jamvi hili, ulichokisema ni sahihi na hii imetokana na kwamba watanzania akili tunazo Ila hazina afya. Sasa wakati umefika umefika tuondoke kwenye eneo la kulalamika twende kwenye utatuzi wa tatizo, naomba utuongoze MM.

Kwani naamini nguvu ya mafisadi imetokana na udhaifu wetu hasa kwa wengi wetu kutokujua haki zetu, na hapa ndo nasema akili tunazo ila hazina afya. Ifike mahali kwa pamoja tuondoke mafichoni tupaze sauti zetu
tuseme sasa inatosha, tayali mwenzetu Kubenea ametangulia hima hima tumfuate. Imani yangu ni kwamba huhuu si woga bali ni ubinafsi, mioyo yetu wengi haina uzaelendo, ushindi wa vita ya Uganda ilitokana na uzalendo wa watz wenzetu, walikuwa na siraha duni lakini walitumia nguvu yao pasipo kujali ujira. Leo hii ukimwambia kijana akapigane vita kwanza atahitaji kujuwa anapewa kiasi gani.
 
Kama alivyosema The Boss kwamba kufuatilia siasa za Tanzania ni hatari kwa afya yako, ama hakika Mzee Mwanakijiji umenena ila kama ilivyo kawaida siku hizi kuna msemo umezuka kwamba HUU NI UPEPO UTAPITA TU.

Ifike mahali hatua zaidi za kisheria zichukuliwe kwani kama kamati imevunjwa na spika kuongea kwa uchungu (kama kweli alikuwa ana maanisha maana uso unweza onyesha ana uchungu kumbe hakuna kitu) maana yake kwamba ni kweli kosa limetendeka hivyo kwanini watendaji wa serikali kama kina Mhando na wengine waondolewe alafu makosa yakifanyika kwa wabunge inaishia kuvunjwa kamati au mtu kujiuzuru pasipo kuchukuliwa hatua zaidi (hapa kuna maswali ya kujiuliza na mbaya zaidi wapiga kura wanawarudisha tena).

Nadhani hapa tunahitaji somo la KUJITAMBUA ili mwisho wa siku SAUTI YA UKOMBOZI ISIKIKE.
 
Kwenye politics,kuna a "serious business" part of it ambayo wananchi hawaijui.Siasa kwao ni kama Simba na Yanga.There's something seriously wrong,sijui kama kuna mtu keshawahi kufanya research kwenye hii kitu?
 
Mzee mwanakijiji kusema ukweli,makala yako hii itakachosaidia,ni kama endapo huyo profesa Muhongo ameact kisiasa zaidi,kwasababu sasa if that was his intentions,then ina maana you're one step ahead.Kwenye kuhusu issue hii kupita kama nyingine,hilo liko wazi.Tusubiri tuone nia ya huyu mtu,kwasababu kimsingi makala yako hiyo haijaprovide solutions.
 
Nyerere alipoifanyia kazi kwa vitendo ile sheria ya uhujumu uchumi watu walimwona kama hafai kumbe wakati mwingine hii nchi inahitaji mbabe wa kuwanyoosha hata kama itaonekana vipi, maana January 2012 salio linaweza likawa halisomi kabisa lakini kufikia December likiwa bilion mbili hakuna atakae kuuliza na ndio maana mambo yanakwenda hivi watu wanachukua mihela tu kama hawana akili nzuri kwani hakuna anaefuatilia kwani hata watunga sheria nao wanazibika midomo kwa kitu kidogo.

Kama mtu anaanza na mtaji wa 10 million alfu after few months anapewa tenda ya 800 million hapa si ni balaa tena mke na familia ya mtendaji mkuu, ingekuwa ni mtanzania wa kawaida anaemilki kaduka kake kadogo au mtu ndio anaanza tungesema labda hii ni strategy mojawapo ya kuwanyanyua wafanyabiashara ndogondogo.
 
Very touching MMM,

Ntachangia kesho hii topic. Kuna mambo kwenye hii nchi ambayo yanaashira kwamba "Something is seriously wrong"

Ningependa (kwa wale tunaoona hili) tufanye mjadala mpana kuhusu namna ya kutoka hapa maana kwa mfumo wa sasa "I dont see light at the end of the tunnel"

MMM narudia tena "Some thing is seriously wrong!!!!!"
 
Mzee mwanakijiji kusema ukweli,makala yako hii itakachosaidia,ni kama endapo huyo profesa Muhongo ameact kisiasa zaidi,kwasababu sasa if that was his intentions,then ina maana you're one step ahead.Kwenye kuhusu issue hii kupita kama nyingine,hilo liko wazi.Tusubiri tuone nia ya huyu mtu,kwasababu kimsingi makala yako hiyo haijaprovide solutions.

Mkuu jmushi1.........wanaharakati hawaishi kujiuliza (i.e. cheche za fikra) siku zote......madudu ya Nishati hayakuanza kuzungumzwa leo wala juzi......kuna baadhi ya watu wanaonyesha dalili za kutenda.....kile ambacho Mnyika and the rest wanakitarajia.......ukim-criticize mpinzani wako halafu ukaona mpinzani wako anatenda au hata kuonyesha nia ya kutenda kutokana na critics zako......hiyo pekee ni achievement........kama ulivyosema........only time will tell..........
 
Ogah tatizo watu wanaamini kuna kitu kinafanyika! Ndio maana ya mazingaombwe. Mazingaombwe yanakuwa yamefanikiwa pale watu wanaposimama na kupiga mbinje, makofi na vigelegele wakisema "once more! Once more!.
 
Sisi Watanzania ni watu wa upendo wa ajabu sana, tuu watulivu sana, wasikivu sana, wavumilivu sana na wastahimilivu sana. Siku zote tumekuwa tukiishi kwa matumaini ya "hope for the best" that one day mambo yatakuwa mazuri, japo kila baada ya miaka mitano hutungiwa wimbo mpya and we always dance to the tune huu ni mwaka wa 50! na bado we are still dancing to the same dance and the same tune played by the people and the same piper!.

Ila kwa vile hii miaka 50 ya mwanzo sio mingi sana, tataendelea kuwapenda, kuwatarajia, kuwategemea, kuwastahimilia na kuwavumilia kwa kuwachagua tena na tena kila baada ya miaka 5 hadi itimie ile miaka mingine 50 tarajiwa ndipo tutakapo amka!, kwa sasa bado tunaendelea kushangilia mdundo wa ngoma huku tukiimba na kucheza kwa furaha simply because its very true we are "silly people!"

I love Tanzania!, I love "SP" Tanzanians!.

Kisiwa cha Upendo na Amani!.

Pasco.
 
Ogah tatizo watu wanaamini kuna kitu kinafanyika! Ndio maana ya mazingaombwe. Mazingaombwe yanakuwa yamefanikiwa pale watu wanaposimama na kupiga mbinje, makofi na vigelegele wakisema "once more! Once more!.
Nakataa MM,

Ndio tumeshaona drama za kila aina baada ya kuundwa tume za kuchunguza , lakini katika hili la Nishati na Madini wameingia watu wapya ambao si wanasiasa na wakaibua madudu ambayo yamefumbiwa macho

Kitendo cha kutaja wezi wa umeme bungeni ambao baadhi ni wabunge ni ujasiri mkubwa sana

Unaposema kiini macho sikuelewi kuwa nothing is coming out of this?

Kwa hili la MEM tayari hatua kadhaa zimechukuliwa

Kimsingi umetoa maoni yako na yana mantiki lakini I dare say sidhani yawe applicable mpaka kwa hili coz siligroup katika mazingaombwe...

Credit should be given where it deserves
 
Nakataa MM,

Ndio tumeshaona drama za kila aina baada ya kuundwa tume za kuchunguza , lakini katika hili la Nishati na Madini wameingia watu wapya ambao si wanasiasa na wakaibua madudu ambayo yamefumbiwa macho.

Kitendo cha kutaja wezi wa umeme bungeni ambao baadhi ni wabunge ni ujasiri mkubwa sana

Unaposema kiini macho sikuelewi kuwa nothing is coming out of this?

Kwa hili la MEM tayari hatua kadhaa zimechukuliwa

Kimsingi umetoa maoni yako na yana mantiki lakini I dare say sidhani yawe applicable mpaka kwa hili coz siligroup katika mazingaombwe...

Credit should be given where it deserves

yes, hata wana mazingaombwe wanastahili credit for good perfomance. Kutaja wabunge wala rushwa - kuna aliyetajwa kwa jina? Kuwataja wabunge wanaoiba umeme wametajwa kwa jina au taasisi zao? Na kutuambia wameiba umeme kuwataja Bungeni? Kwanini wasitiwe pingu? Mwizi anatajwa halafu anaachwa anapiga kura?

Wanavunja kamati ya madini na nishati na watu wanashingilia? hao wajumbe wengine watatoka bunge la wapi China? au watatoka chama gani?

Hakuna lolote isipokuwa tuone mawaziri wanaenda jela na wabunge wanatiwa pingu na kusotea jela na kupoteza ubunge wao ndio hapo tutaanza kutoa credits. Lakini hizi za kuumbuana na kusemana? We have been here since 1993 .. au ndugu yangu umesahau Augustino Mrema? Yeye alitaja hadi mke wa Rais!
 
Jodoki Kalimilo

Mimi sipendi kuamini kwamba watu wazima wamefikia kuvuana nguo bila msukumo wa maslahi fulani. Tukubaliane kwamba kama mfumo wa utawala wa nchi ungekua unafanya kazi hii issue ya Mhando ingeishia ngazi ya Bodi ya Wakurugenzi.

Miaka 5 iliyopita tuliambiwa jinsi gani mikataba kati ya Tanesco na Makampuni binafsi ya kuzalisha umeme ambavyo imesababisha shirika lishindwe kujiendesha. Na tulijulishwa mikataba hiyo ilikuwa inasainiwa kwa shinikizo la wanasiasa.

Mpaka leo mikataba ipo watu wanakamua. Nilitarajia mtu wa aina ya Prof. Muhogo ashughulike na madudu kama haya. Haya ndiyo yanaimaliza Tanesco. Haya ya akina Mhando ni mfumo,hata aje nani atatumbukia.
 
Last edited by a moderator:
Mwanakijiji uko sahihi kabisa tanzania tunadanganyika sana kila kitu utaona tufanye uchunguzi, kesi iko mahakani, kuvunja kamati, nk. ni usanii tu kinachotakiwa nikitendo kunyonga, kufunga waliotufiikisha hapa wala si kelele za wabunge wanaokejeliana, vijembe, nk.
 
yes, hata wana mazingaombwe wanastahili credit for good perfomance. Kutaja wabunge wala rushwa - kuna aliyetajwa kwa jina? Kuwataja wabunge wanaoiba umeme wametajwa kwa jina au taasisi zao? Na kutuambia wameiba umeme kuwataja Bungeni? Kwanini wasitiwe pingu? Mwizi anatajwa halafu anaachwa anapiga kura?

Wanavunja kamati ya madini na nishati na watu wanashingilia? hao wajumbe wengine watatoka bunge la wapi China? au watatoka chama gani?

Hakuna lolote isipokuwa tuone mawaziri wanaenda jela na wabunge wanatiwa pingu na kusotea jela na kupoteza ubunge wao ndio hapo tutaanza kutoa credits. Lakini hizi za kuumbuana na kusemana? We have been here since 1993 .. au ndugu yangu umesahau Augustino Mrema? Yeye alitaja hadi mke wa Rais!

Ndugu MM
Kwa sheria ya umeme,na taratibu za shirika wezi wa umeme wanaweza kulipa pamoja na interest bila kuwekwa pingu.

Kama unataka watu waende mahakamani kwa vile wametajwa bungeni na ni watumishi wa umma ( mimi naongelea hawa nishati na madini ) utakuwa umepotoka kidogo,

Japo kuna ushahidi usiotia shaka, mabosi wa TANESCO kabla ya kusitishiwa ajira zao watapewa fursa ya kujieleza na watakabidhiwa discplinary charges, ni haki yao kimsingi kusikilizwa kabla hawajaondolewa...wakishaachishwa kazi ndipo watakabidhiwa polisi kujibu tuhuma sambamba na kufunguliwa mashtaka

Kwa taratibu za ajira, mfanyakazi ukimfungulia kesi polisi, huwezi tena kumwachisha kazi mpaka kesi iishe na knowing our police force that might take eternity huku anakula mshahara, hivyo kinachofanyika ni uchunguzi huo wa CAG, wasikilizwe ( ninavyomfahamu Mhando, hapo ndio ataondoka na January, Ngeleja et al )

Kisha waadhibiwe
 
Back
Top Bottom