Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
Ukiwasikia Viongozi wa Upinzani walivyoingiwa na mchecheto kutukana na kupoteza mvuto kwa Wananchi utawahurumia kwa kweli.
Utawasikia tunataka tume huru ya Uchaguzi. Umawakaba swali mbona nyie ni wabunge nani aliwatangaza mlipochaguliwa? Wanakimbia hawajibu maada hahaha
Unawauliza mbona mlishinda majimbo majimbo kumi ya Uchaguzi na viti maalumu mkapata nani aliwatangaza?
Wanakimbia hawajibu maada ! What a shame
Tume ya Uchaguzi ipo huru kabisa, hatuhitaji tume nyingine itakayoharibu Nchi yetu.
Wapinzani wa sasa wanaugua hofu, wanajua Watanzania wamewachoka.
Wanachofanya ni kujificha kwenye tume huru ya Uchaguzi ili wakipigwa tatu bila wapate wa kumsingizia
Ujanja wao umefika mwisho, tuwakatae hawa makanjanja wa kisiasa
Naiomba serkali tukufu ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania isisikilize kelele wa Upinzani tena mitandaoni,
Hawa wapo kwenye hatua ya mwisho kufa, waacheni wafe wala msijisumbue nao.
Watanzania bado tunahitaji umeme wa uhakika, barabara zinazounganisha wilaya na wilaya, elimu bora na huduma za afya.
Msije mkachezea pesa eti kutengeneza tume huru? Tume ya Uchaguzi Tanzania ni huru kabisa.
Tanzania tume ya Uchaguzi ni Uhuru Kabisa kwa mujibu wa katiba.
Wale waliokuwa wanategemea tume huru iwasaidie kwenye aibu ya kushindwa wameula wa chuya, mjiandae kwa tatu bila.
Naipenda Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Utawasikia tunataka tume huru ya Uchaguzi. Umawakaba swali mbona nyie ni wabunge nani aliwatangaza mlipochaguliwa? Wanakimbia hawajibu maada hahaha
Unawauliza mbona mlishinda majimbo majimbo kumi ya Uchaguzi na viti maalumu mkapata nani aliwatangaza?
Wanakimbia hawajibu maada ! What a shame
Tume ya Uchaguzi ipo huru kabisa, hatuhitaji tume nyingine itakayoharibu Nchi yetu.
Wapinzani wa sasa wanaugua hofu, wanajua Watanzania wamewachoka.
Wanachofanya ni kujificha kwenye tume huru ya Uchaguzi ili wakipigwa tatu bila wapate wa kumsingizia
Ujanja wao umefika mwisho, tuwakatae hawa makanjanja wa kisiasa
Naiomba serkali tukufu ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania isisikilize kelele wa Upinzani tena mitandaoni,
Hawa wapo kwenye hatua ya mwisho kufa, waacheni wafe wala msijisumbue nao.
Watanzania bado tunahitaji umeme wa uhakika, barabara zinazounganisha wilaya na wilaya, elimu bora na huduma za afya.
Msije mkachezea pesa eti kutengeneza tume huru? Tume ya Uchaguzi Tanzania ni huru kabisa.
Tanzania tume ya Uchaguzi ni Uhuru Kabisa kwa mujibu wa katiba.
Wale waliokuwa wanategemea tume huru iwasaidie kwenye aibu ya kushindwa wameula wa chuya, mjiandae kwa tatu bila.
Naipenda Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app