Ugangaaa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2017
- 370
- 553
Upo sahihi mkuu kiujumla mm nimekuelewa sn na atakae pinga hili jua hayupo kwenye ndoakukosea KUJENGA NYUMBA utaibomoa KULIKO KUKOSEA KUOA,,,na UPAPASWA uelewe kwamba NDOA NI ZAIDI YA TENDO LA NDOA,,ingawa lile TENDO NDY LINAKAMILISHA NDOA,,,Nina maana kwamba kila BINADAMU ANAKUWA NA NYOTA YAKE,,,,ktk MAISHA,,,, unapooa MWANAMKE ambaye ana NIKSI NA MIKOSI basi elewa UTAPATA HASARA KTK MAISHA NA MAMBO YAKO,,,na ukioa MWANAMKE ambaye ana nyota nzr basi ni chanzo cha KUFUNGUKA MAMBO NA MAISHA YAKO,,,Nina maana kwamba ktk maisha ya NDOA unaweza ukawa unatumia NYOTA YA MKEO BILA KUJIJUWA,,,ndy maana unakuta MTU akiwa na UGOMVI WA MARA KWA MARA NA MKE,,,mambo huvurugika,,,,na kujiona UMEROGWA,,,tuwapende wake ZETU,,, tuwasikilize mawazo yao,,HUENDA HAPA TULIPO NDY WAO WALIOTUPANDISHA AU KUTUSHUSHA..,,,,huo ni USHUHUDA 100%