Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chukulia kwamba, watu wa mtaani kwako wanaeneza maneno kwamba, wewe unatembea na mke au mume wa fulani, hapo hapo mtaani. Jambo hilo halina ukweli, lakini uzushi huo unapamba moto pale mtaani. Hebu sema, ungefanyaje?
<br /><font size="4"><b><i><span style="font-family: century gothic"><font color="#000000">Chukulia kwamba, watu wa mtaani kwako wanaeneza maneno kwamba, wewe unatembea na mke au mume wa fulani, hapo hapo mtaani. Jambo hilo halina ukweli, lakini uzushi huo unapamba moto pale mtaani. Hebu sema, ungefanyaje?</font></span></i></b></font>
Chukulia kwamba, watu wa mtaani kwako wanaeneza maneno kwamba, wewe unatembea na mke au mume wa fulani, hapo hapo mtaani. Jambo hilo halina ukweli, lakini uzushi huo unapamba moto pale mtaani. Hebu sema, ungefanyaje?
Hawawezi kusema hivyo bila sababu. Ni lazima utakuwa jirani na huyo mke/ mume wa mtu, ama mnaonekana maeneo yenye kutia shaka.
Badili tabia jiweke mbali nae
We na wewe umeelewa vibaya............ hukui tu!
<br /><br />Bujibuji, hivi kuwa karibu na mke au mume wa mtu ndiyo ina-justify kuwa mnafanya tendo? vipi wale wanaokuwa na u-partner wa kibiashara na wake au waume za watu, tuwachukulie kwamba hawaishii hapo, bali hata tendo la ndoa ni sehemu ya u-partner wao?
<br /><font size="4"><b><i><span style="font-family: century gothic"><font color="#000000">Chukulia kwamba, watu wa mtaani kwako wanaeneza maneno kwamba, wewe unatembea na mke au mume wa fulani, hapo hapo mtaani. Jambo hilo halina ukweli, lakini uzushi huo unapamba moto pale mtaani. Hebu sema, ungefanyaje?</font></span></i></b></font>
Nimeelewa vibaya? au mie nimetoa moja ya maana nyingi za ujumbe wako.
Wewe ndio umeshindwa fikisha ujumbe uliokusudia so usinilaumu mkuu.
kwa kifupi tungo yako ni tata?
onesha kama umekua basi.