Steven mushi mushi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 533
- 737
Wanasayansi wamegundua tena masalia ya binadamu mwingine wa kale huko nchini Ethiopia.
Binadamu huyo wa kale waliompa jina la Lucy inasemekana alikuwa anafanana zaidi na sokwe kuliko binadamu na pia alikuwa na mikono yenye misuli kama sokwe, na alikuwa na urefu wa futi moja na inch moja.
Ingawa lucy alikuwa na uwezo wa kutembea kama binadamu wa leo hii wanasayansi wanadai lucy alikuwa akiishi zaidi juu ya miti kuliko ardhini na inasemekana kuwa binadamu huyu wa kale aliishi takribani miaka million 3.2 iliyopita huko nchini Ethiopia katika bara la Africa.
http://nytimes.com/2016/08/30/science/lucy-hominid-fossils-fall.html
Binadamu huyo wa kale waliompa jina la Lucy inasemekana alikuwa anafanana zaidi na sokwe kuliko binadamu na pia alikuwa na mikono yenye misuli kama sokwe, na alikuwa na urefu wa futi moja na inch moja.
Ingawa lucy alikuwa na uwezo wa kutembea kama binadamu wa leo hii wanasayansi wanadai lucy alikuwa akiishi zaidi juu ya miti kuliko ardhini na inasemekana kuwa binadamu huyu wa kale aliishi takribani miaka million 3.2 iliyopita huko nchini Ethiopia katika bara la Africa.
http://nytimes.com/2016/08/30/science/lucy-hominid-fossils-fall.html