dracula
Member
- Sep 4, 2008
- 64
- 32
nafikiri ni kazi ngumu .. so kuletwa mbwebwe ni kuirahisisha kidogo na kujaribu kuondoa ile notion ya kufanya kazi ngumu na kuenjoy.. nimeshawahi kuona watu wakitwanga mpaka wanabadilishana mitwangio .. na wanafanya kwa ustadi mkubwa sana ... its interesting to the eye .. wanaimba .. ila ni ways za mababu zetu maana hata kulima .. like community work .. nyimbo hutawala just to eeeez the work