Wanapata wapi ujasiri wa kupamba Madhabahu kwa picha za wafu?

Wewe binafsi hujaziona athari za huyo jamaa?

Watu kuweka mapicha ya huyo jamaa majumbani kwao unaona ni sahihi?

Wengi hawajui kama yule ni muigizaji tu kama Rambo.

Deacon huyu. View attachment 1979579
Kuna athari kubwa sana watu hawajui, nimekua nikijua kuwa hiyo ndiyo picha ya Yesu tokana na kuwa nyumbani zilikuwepo na nyumba nyingi za wakristo zilikuwa na picha ya tuliyeaminishwa ni Yesu. Nikifahamu ukweli nimeshakuwa mtu mzima na inasikitisha kuwa hata baadhi ya makanisa yametundika hizo picha.

Nadhani ifike mahali waKristo waambiwe ukweli na watumishi ili wanaopamba wakijua ni picha ya Yesu waujue ukweli.
 
Binafsi naona ni kosa kubwa kuweka picha kwenye altar. Madhabahu ni sehemu takatifu siyo sehemu ya kuweka mapichapicha tena ya marehemu. Nyumba ya Mungu tusitake kufananisha na nyumba zetu majumbani.
 
Salamu Maria umejaa neema,Bwana yu nawe umebarikiwa kuliko wanawake wote!

Luka 1:26

Mara tu Elisabeti aliposikia sauti ya Maria, mtoto mchanga tumboni mwake Elisabeti akaruka. Naye Elisabeti akajazwa Roho Mtakatifu, akasema kwa sauti kubwa, “Umebarikiwa kuliko wanawake wote, naye utakayemzaa amebarikiwa. Mimi ni nani hata mama wa Bwana wangu afike kwangu? Nakuambia, mara tu niliposikia sauti yako, mtoto mchanga tumboni mwangu aliruka kwa furaha. Heri yako wewe uliyesadiki kwamba yatatimia yale Bwana aliyokuambia.”

Unaanzaje kuukataa utakatifu wa mama huyu? Kwenye harusi ya kana walipoishiwa divai walimwendea mama ili amuombe mwanaye awasaidie! Na walijibiwa shida yao kupitia Bikira Maria.

Pia katika Biblia kuna hadithi ya baada ya kifo cha tajiri na Lazaro,Tajiri yule aliwaona Ibrahim na Lazaro naye aliomba japo achovewe japo tone la maji katika kidole!

Kumbuka hatufanyi ibada kwa watakatifu bali maombi kupitia kwao! (Tofautisha ibada na maombi/sala)

Watakatifu ni watu wanaofuata mapenzi ya Mungu kwa njia ya Kristo 1.kor 1:2

Je, watakatifu wako wapi baada ya kifo duniani?

Watakaatifu wako mbinguni, hivyo wanayo nafasi kubwa ya kutuombea ili tuweze kushinda kama wao,,,

Zaburi 16:10
"Maana hatakuachia kuzimu nafsi yangu, wala humwachi mtakatifu wako aone uharibifu"

Mungu hawezi kumuacha mtu aliyemtumikia vyema kuzimu, bali atamchukua kwake kwa ushindi,

Je, kuna watu wako mbinguni baada ya kifo?

Ndio, biblia haikuficha, imeweka wazi,
Tusome katika

Mathayo 27:53
"Na tazama, pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu mpaka chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka;
Makaburi yakafunuka;
Ikainuka miili ya watakatifu waliolala;
Nao wakiisha kutoka makaburini mwao, baada ya kufufuka kwake, wakauingia mji mtakatifu, wakawatokea wengi."

Hivyo si kwamba ni watu wote waliokufa wako kuzimu, ila, walioshika vyema neno la Mungu, aliwachukua kwake,,,

Ushahidi mwingine ni kutoka katika
Mathayo 17:2-3

"Huko, wakiwa wanamtazama, akageuka sura, uso wake ukang'aa kama jua na mavazi yake yakawa meupe kama nuru. Mose na Eliya wakawatokea, wakawa wanazungumza naye.

Musa na Eliya ni manabii wa zamani, lakini pale mlimani wanakuja, wakiwa katika hali ya utukufu nao wanazungumza na Yesu, kisha katika mistari inayofuata, Mungu anamtambulisha Yesu akisema ni mwanaye mpendwa,,,

Hivyo kama kanisa tunaamini wako washindi walioko mbinguni....

YESU ANATUKUZWA,

Tendo la kuwaomba watakatifu watuombee, sio kwamba tunamkataa Yesu, bali Yesu hutukuzwa kupitia wao. Ndio maana tunapojiona ni dhaifu tunaweza kwenda hata kwa waamini wenzetu, mababa wa kiroho ili watuombee,

Naweza kusema watakatifu walioko mbinguni ni zaidi ya sala kwani hawawezi kufanya dhambi kama mwanadamu wa kawaida, wao ni washindi tayari,

Yesu aliwaachia wafuasi wake mamlaka
Yohane 14:12
"Kweli nawambieni anayeniamini atafanya mambo ninayofanya mimi, naam atafanya makuu zaidi kwani ninakwenda kwa baba"

pia soma,

Mathayo 18:18

"Kweli nawaambieni, chochote mtakachofunga duniani, kitafungwa mbinguni. Na chochote mtakachofungua duniani, kitafunguliwa mbinguni"

Zamani pia watu wengi hawakumfikia Mungu moja kwa moja, bali waliwafuata mitume na kuponywa au kusaidiwa shida zao.

Matendo 5:15-16.
"Hata ikawa katika njia kuu, wakawatoa nje wagonjwa na kuwaweka juu ya majamvi na magodoro ili Petro akija awaguse, hata kivuli chake kimwangukie mmoja wapo....
....wakileta wagonjwa, nao walioudhiwa na pepo wachafu; nao wote wakaponywa"

Hivyo mtakatifu, kutokana na neema aliyojaliwa, huweza kuwasaidia watu wengine kama chombo cha Mungu.
Kuweka Biblical references kuna maana iwapo tu vifungu unavyoweka vinajibu maswali yaliyopo mbele.Kama havitoi majibu hayo basi naweza kusema ni ushahidi mwema ulio misplaced.Next time jaribu kuweka reference zinajibu hoja.

Hapo Maria alipoambiwa Umejaa neema na umebarikiwa kuliko wanawake wote hiyo ilikuwa ni salamu na sio licence ya maombi.Ni kweli amejaa neema ni mtakatifu(kama walivyowatakatifu wengine waliopo duniani na waliotangulia) lakini haisemi sasa kwa kuwa ni mtakatifu na amejaa neema basi tumuombe yeye atuombee kwa Mungu.Hilo suala la harusi ya kana nafikiri nimeshalizungumzia mwanzoni hatuwezi kurudi tena huko.

Nimefurahi umeleta story ya kupasuka kwa pazia la hekalu,nitaitumia hii scripture reference kukujengea ufahamu kuhusiana na hii mada.

Kupasuka kwa Pazia la hekalu maana yake ni kwamba ule mpaka uliokuwa unawatenganisha watu na kufanya wasiweze kuingia patakatifu kwa patakatifu kwa ajili ya kumuomba Mungu na ondoleo la dhambi umeondolewa.

Zamani kulingana na maelekezo aliyoyatoa Mungu ya namna ya kufanya ibada ni Makuhani tu ndo walikuwa na access ya kuingia hekaluni na kufanya ibada(naeleza kwa ufupi sana) kwa niaba ya watu wengine.Na ni kuhani Mkuu tu ndiye aliyekuwa na access ya kuingia patakatifu patakatifu tena baada ya kutoa sadaka ya ondoleo la dhambi.

Sasa basi baada ya Yesu kufa,pazia la hekelu likapasuka kama ishara kuonyesha huo mpaka kuondolewa,Now kila aaminiwe amepewa mamlaka ya kikuhani.Maana yake ni kwamba unaweza kuomba msamaha wa dhambi in the comfort of your room,kuomba chochote mbele za Mungu bila kupitia kwa mtu yeyote.Sasa kwa kutumia tu haya maarifa,huoni kuwa hakuna haja ya wewe kuomba mtu mwingine akuombee?

Pia ishu ya Musa na Eliya kumtokea Yesu haina uhusiano na hii mada,from the beggining i made it clear i believe kuna Watakatifu waliopo mbinguni no doubt about that lakini naendelea kupinga kuwa Biblia haijakuelekeza kuomba chochote kupitia kwao otherwise ombeni chochote in the name of Jesus.

Ndugu utajaribu kuleta vifungu vingi ambavyo ni irrelevant kwenye hii mada kwa lengo la kujaribu kuprove kitu ambacho sio Biblical. Iam a very open minded but if its not Biblical its not important otherwise tungeleezwa au tungeona mifano kwenye Biblia.
 
Ndio.Alikuta makanisa sehemu ambazo watu walikua wanazitumia kumuabudia Mwenyezi Mungu. Mfano pale alipoenda kusoma biblia wakamtoa nje. Alikuta watu wamegeuza kanisa kuwa soko
Hapana hakuwahi kuingia kanisani
Ni masinagogi
 
Wewe ni mjinga sana huyo padre wako kanisani anavaa sketi au gauni?! Elimu waislam tuliambiwa tuitafute mpakq china how unasema hatutaki elimu?! Nyie wenyeelimu mbona bado unaishi ki primitive hujo vijinini kwenu kuuwana kichawi kila leo
Acha povu, kwanza mimi sina Padre, pili nyie na Elimu dunia wapi na wapi???
 
Neno Katoliki,walilipa Mitume wenyewe kutokana na neno "Katolikus", Lenye maana ya,ya Dunia nzima au Kanisa la wote, kwasababu Kristo mwasisi wa Kanisa hili alikuja Ulimwenguni kwaajili ya binadamu wote.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Ujinga huu nenda kadanganye WAJINGA wenzie hukohuko katoliki lakin si Kwa watu wenye ufahamu mkubwa WA Mambo. ETI mitume walilipa Jina katoliki Labda mitume WA ugari na mashoga ya vatcan. Si wale WA Yesu
 
So Conclusion Yesu alikua myahudi hio katoliki aliianzisha lini na wapi?
Dada achana wapuuZi Kanisa katoliki NI ushetani na NI hatari kwa wacha MUNGU walivuruga kanisa lililoanzishwa na mitume wakajitengenezea Lao Kisha wakatengeneza mfumo Kwa wafuasi wasiwe na Akili ya kusoma biblia na history ya kanisa wanalolifuata hakuna kanisa pale NI ushetani Tu we fatilia Mambo HATA google huko Utajua. Muulze HATA padre Easter NI nini na Passover ni nn. Kisha nenda Google andika history ya Sikukuu ya Easter au pasaka utapata majibu ya hawa mashetani.
 
Ujinga huu nenda kadanganye WAJINGA wenzie hukohuko katoliki lakin si Kwa watu wenye ufahamu mkubwa WA Mambo. ETI mitume walilipa Jina katoliki Labda mitume WA ugari na mashoga ya vatcan. Si wale WA Yesu
Katoliki ilito
Dada achana wapuuZi Kanisa katoliki NI ushetani na NI hatari kwa wacha MUNGU walivuruga kanisa lililoanzishwa na mitume wakajitengenezea Lao Kisha wakatengeneza mfumo Kwa wafuasi wasiwe na Akili ya kusoma biblia na history ya kanisa wanalolifuata hakuna kanisa pale NI ushetani Tu we fatilia Mambo HATA google huko Utajua. Muulze HATA padre Easter NI nini na Passover ni nn. Kisha nenda Google andika history ya Sikukuu ya Easter au pasaka utapata majibu ya hawa mashetani.
atakusumbua hajui historia ya makanisa/madhehebu
 
Sisi waislamu PICHA no haramu

Na ibada za masanamu zinaanza hivi kama masihara,hiyo picha ya rwakatale hapo miaka 100 ijaya vizazi hivo hawatomuita mchungaji tena na kisha baadae atakuja kuabudiwa kama MUNGU

Shetani yuko smart sana kwenye mambo yake
Ile NYOTA NA MWEZI NI SANAMU.
 
Back
Top Bottom