Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,561
- 25,619
Nimdanganye nani mbona Watanzania wanaharibika Tanzania tuu hapa panya road wapo Tanzania na vikundi kibao vya uhalifu vipo Tanzania hao Watanzania laki moja tuu wapo Johannesburg na si SA yote...Watanzania wengi wamefanikiwa kupitia SA sema ninyi wenye roho zenu za kutu kuongea kuwa sehemu fulani ukituliza akili utafanikiwa unaona kama utapasuka...Unaongopa ....
SA nzima Kuna wabongo takriban laki moja maximum , wanaofanya biashara za trucking hawafiki 30 na ni ma- alwatan. ..
Ninyi ndio mnaotoa "false hopes " na kufanya vijana wakimbilie South Africa na kuharibikiwa huko.