Wanakutongoza kinomanoma ukiwa sehemu gani? ...Mall, barabarani, mtaani au wapi?Aaaa na hawana hayaa yaani wanakutongoza kinoma noma daaah hatari ..... warangirangi kazi sema
Inawezekana umefika South Africa ila hujawahi ishi South Africa. ...Yaani kiufupi kama mwanaume ukiwa una matamanio na wasichana... kinyume chake popote wengi wao wapo hivyo
Nimepitia comments zako nyingi, nimegundua unachangamsha jukwaaInakuwa haina faida yeyote kuhakikisha kitu ambacho hakiwezi kukusaidia ..
Nimepitia comments zako nyingi, nimegundua unachangamsha jukwaa
You never been on those terrains.
Upo vizuri kwenye kutengeneza story za kubumba...kongole
ni ndogo?Umesema umerudi na ml 3 ?
Ndogo kaka .. yaani hiyo pesa kwa aliyekuwa bongo siku zote ataweza kuizungurusha ila kwa mimi naichoma kaka .. coz mgeni sasa hapa
“SIO MALAYA WOTE WANAUGONJWA WA ZINAA”
Jamaa kaanza vizuri eti astroway sio maisha ya kuyabeza.
Mimi nimesoma ila ndugu zangu huyu jamaa kweli south ameenda ila tunavyoongea hayupo sawa kiakili. Mwamba inaonekana anatatizo la fuse kalipata huko.
(Kama unanielewa vizuri). Huyu mtu akikukalia mbele anaongea unaweza kubaki umeduwaa.
Alfu hiyo milioni tatu ya miaka yako mitatu. Kuna jamaa wanaiua pale sehemu daslam nusu saa tuuu.. Tulia hapa hapa upambane ndugu.
Sasa hiyo si hela ya bia tu.Anzia kusma chini kwenda juu mtukufu... ni mil-3
Endeleeni kudanganyana hivyo hivyo kila sehemu kuna level ya kupata kwa kila mtu inawezekana yeye alivyotoka na alichokipata ni stahiki kwake maana hata Tanzania hapa wapo ambao hawajapata hizo kwa muda huo mnavyoandika utadhani Watanzania wote waliobaki ni matajiri wakati tunaonana humu tukigombania dala dala za kwa mpalange...Nikajua utakua umeshatoboa kumbe bado Bora utupe stori ya mademu wa SA tu hizo 3M ulizotafuta kwa miaka mitatu huko kwa hapa bongo mbona ungeweza pia, mm sina raman ya kueleweka lakin ndani ya miaka mi5 hapahapa bongo nimefanya mambo ya karibu 26M kumbe nikienda SA ntakua narudi nyuma tu
Umekunywa chai lakini? Au homa inakusumbua?Endeleeni kudanganyana hivyo hivyo kila sehemu kuna level ya kupata kwa kila mtu inawezekana yeye alivyotoka na alichokipata ni stahiki kwake maana hata Tanzania hapa wapo ambao hawajapata hizo kwa muda huo mnavyoandika utadhani Watanzania wote waliobaki ni matajiri wakati tunaonana humu tukigombania dala dala za kwa mpalange...