mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,660
- 37,204
wewe ni kichaa na hujui nini maana ya mauzo. Kwahiyo ukiwa na mtaji wa laki 2 mwaka mzima utakuwa umefanya mauzo ya laki 2 pekee?? Wewe hupaswi kuwa hapa JF ni mjinga na ni mpumbavu
sasa unachobisha kitu gani mbona hueleweki!!!umekalia kutukana tu kama defence ya kukosa hoja.
mtaji wa laki mbili mauzo 4mln!!!!unaijua milioni nne wewe au unadhani kila mtu anauza sambusa kama wewe??!
hizi akili ndio zimemshauri mama afukuze machinga,dah!!!!