Wanaowatetea machinga kuondolewa maeneo yasiyo rasmi kwa biashara wana uelewa mdogo

wewe ni kichaa na hujui nini maana ya mauzo. Kwahiyo ukiwa na mtaji wa laki 2 mwaka mzima utakuwa umefanya mauzo ya laki 2 pekee?? Wewe hupaswi kuwa hapa JF ni mjinga na ni mpumbavu

sasa unachobisha kitu gani mbona hueleweki!!!umekalia kutukana tu kama defence ya kukosa hoja.

mtaji wa laki mbili mauzo 4mln!!!!unaijua milioni nne wewe au unadhani kila mtu anauza sambusa kama wewe??!
hizi akili ndio zimemshauri mama afukuze machinga,dah!!!!
 
Wamachinga waondolewe na kusiwe na huruma wala mjadala katika hili.

Tena itungwe sheria ya kuwafungia kutoshiriki siasa kwa miaka mitano wanasiasa wote watakaoleta siasa katika suala hili muhimu sana la mipango miji.

Barabara ni kwa ajili ya kupita. Sio kwa ajili ya biashara. Ukitaka biashara kando ya barabara kaa kwenye fremu ambayo imejengwa kwenye eneo linalogusana na mpaka wa barabara.

Magufuli hakuwa na jibu kuhusu waMachinga, akaishia kutafuta njia ya mkato ya kufunika kombe mwanaharamu apite. Lakini njia yake ya mkato imesababisha uharibifu mkubwa sana wa ustaarabu na unadhifu wa miji.

Wamachinga ni wale wanaotembeza bidhaa, sio wanaoweka kambi. Barabarani ni sehemu ya kupita, sio kukaa.
 
sasa unachobisha kitu gani mbona hueleweki!!!umekalia kutukana tu kama defence ya kukosa hoja.

mtaji wa laki mbili mauzo 4mln!!!!unaijua milioni nne wewe au unadhani kila mtu anauza sambusa kama wewe??!
hizi akili ndio zimemshauri mama afukuze machinga,dah!!!!
Sikia we kilaza.... Ukisikia Mauzo ya Mil kwa mwaka ni wastani wa mauzo 12000 kwa siku. Unaposikia mauzo ni kwamba usitoe gharama zako za manunuzi. Hivyo kinachoangaliwa hapo ni yale mauzo ya kila siku afu zidisha kwa 365 ndio utajua hayo mauzo ya mil 4, yanavyopatikana. Kama hujui kitu ni vizuri sana kuuliza.
 
sio kosa la machinga,kosa ni letu kutotambu mipango.

hapa ilikuwa simple tu,wapewe mipaka na sandard za vibanda,ili maisha yaendelee tu.

leo hii tunajifanya kuchukia mabati na bishara kila sehem wakati dsm yote ni uchafu uchafu tu kutokea angani!!!unafiki hautatufikisha popote.
Wahuni,vibaka wakike na kiume walikua wamejificha kwenye vichaka vya Umachinga (Makumbusho, Ubungo, Mwenge, Morocco,kawe, Buguruni,Mbagala, Ferry, Posta) nashukuru serikali kuona hii na sasa wameamua kusafisha jiji!!
 
Sikia we kilaza.... Ukisikia Mauzo ya Mil kwa mwaka ni wastani wa mauzo 12000 kwa siku. Unaposikia mauzo ni kwamba usitoe gharama zako za manunuzi. Hivyo kinachoangaliwa hapo ni yale mauzo ya kila siku afu zidisha kwa 365 ndio utajua hayo mauzo ya mil 4, yanavyopatikana. Kama hujui kitu ni vizuri sana kuuliza.

hata nikuite mbuzi,ni kumkosea mbuzi adabu.

nyinyi samaki ndio mmejaa ofisi za uma mnafanya wastani ktk biashara??

mauzo ya 12000 faida ni shingapi!!!au wewe kazi yako ni kukariri na kupeleka hesabu manispaa kwamba mayor mauzo ni elfu 12000.
 
Wahuni,vibaka wakike na kiume walikua wamejificha kwenye vichaka vya Umachinga (Makumbusho, Ubungo, Mwenge, Morocco,kawe, Buguruni,Mbagala, Ferry, Posta) nashukuru serikali kuona hii na sasa wameamua kusafisha jiji!!

hamna tatizo,tutakwenda kuona wahuni halisina vibaka waliokosa kazi.

mimi mtazamo wangu ni kuvunja mpaka nyimba chafu chafu mjini hapa.
 
Leo nimepitia Mtaa wa Nyerere, Rwegasore, Pamba hapa Mwanza kwa kweli Mhe. Rais kutoka moyoni ninakupongeza kwa uamuzi uliouchukua wa kuwapanga machinga kwenye maeneo mapya. Machinga walijitawala na kufanya miji kuwa michafu na hawakutaka kupokea ushauri kwa gharama yao waliokuwa wanalipa ya Tshs.20,000.

Hakika tulikuwa tunaelekea pabaya kutokana na machinga. Pamoja na hayo pokea ushauri wao wa kujenga na siyo kurudi kwenye maeneo ya zamani. Hongera sana Mhe. Rais.

Kabisa naipongeza serikali kwa kuwapanga sehemu husika wamachinga ,walikuwa kero ,walikuwa wanachafua majiji,ikifika tar 1 Nov serikali inabidi ihamasishe wananchi wafanye usafi kwenye mitaro! Wamachinga baada ya kuondoa mabanda juu ya mitaro ndipo mauchafu yanaonekana waliyoyaacha.
 
sasa kumbe alerge ilikuwa mabanda machafu sio uwepo wa machinga.

hivi watanzania mnajua madhara ya hiki kilichotendeka!!!au ndio ushabiki tu??
Wewe ulikua unaficha nini huko?!!..Ni mtu wa ajabu ambae hakujua uchafu na hatari iliyokuwepo kwenye barabara zet!!..
 
Leo nimepitia Mtaa wa Nyerere, Rwegasore, Pamba hapa Mwanza kwa kweli Mhe. Rais kutoka moyoni ninakupongeza kwa uamuzi uliouchukua wa kuwapanga machinga kwenye maeneo mapya. Machinga walijitawala na kufanya miji kuwa michafu na hawakutaka kupokea ushauri kwa gharama yao waliokuwa wanalipa ya Tshs.20,000.

Hakika tulikuwa tunaelekea pabaya kutokana na machinga. Pamoja na hayo pokea ushauri wao wa kujenga na siyo kurudi kwenye maeneo ya zamani. Hongera sana Mhe. Rais.
Kwa kweli hata mimi suala la hawa wafanyabiashara ndogo ndogo wenye mabanda (sio machinga) walikuwa waninibore sana. Mwezi February 2021 nilikuja Mwanza kwa kweli hali ya mitaa ya jiji la Mwanza ilikuwa na Taswira mbaya sana tofauti na Mwanza niliyokuwa naijua kabla ya hawa watu wajasirilia mali kupewa ruhusu ya hovyo kujenga mabanda katikati ya jiji. Miji mikubwa yote ya TZ iligeuka kuwa Mabanda Cities.
 
sijafaham,ila serikali ambayo ina vision haikupaswa kuvunjia watu bali iwawezeshe.
watu hamna uwezo wa kuwapa ajira,halafu hata hizo duni wanazojitafutia mnawakwamisha.

hivi mkuu umejaribu kuchora mchoro wa madhara waliyosababishiwa!!!hapa masaki mwisho kuna wakina mama kadhaa wameshapoteza tumaini la kesho yao,eti kisa wanachafua taswira ya jiji!!!yaani jiji kama jiji lina vichwa vya mbuzi humo ofisini hata kuomba mkopo lichonge vibanda hamishika livikodishe kwao kwa kodi nafuu!!!

tunakubali kuna sheria ndio,ila yatupasa kujua sheria nyingi zimechakaa haziendani na maisha ya sasa.kipindi sheria zinatungwa hakukuwa hata na huduma za kifedha kwa simu.

kumwacha bata azurule hovyo uwanjani kisha akanya,unaonekana wewe mfugaji ndio hauko makini,badala ya kushinda unamfukuza,mchingee banda huru.

I felt this!!!

Life! Tuseme tu Alhamdulilah, Atukuzwe Muumba wa Ardhi na Mbingu.
 
Back
Top Bottom