JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
Uvutaji sigara hupunguza uwezo wa mapafu kufanya kazi na huongeza hatari ya maambukizi mengi ya njia ya upumuaji
COVID-19 ni ugonjwa wa kuambukiza ambao kimsingi hushambulia mapafu
Hivyo uvutaji sigara huharibu kazi ya mapafu na kuifanya iwe ngumu kwa mwili kupambana na virusi vya Korona
Kama unavuta sigara acha, kama uliwahi kuvuta usirudie tena na kama hujawahi kuvuta usijaribu