HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,072
- 1,389
Swali langu ni hili kwa menejimenti,Halmashauri ya jiji na Mamlaka za Juu.Hivi hii kero ya usafiri wa UDART hawaijui,hawaisikii,hawaioni au hawajali? Hivi kilio hiki tupeleke kwa nani na nyinyi mpo lakini mpo kimya kana kwamba ni wimbo wa kuburudisha tu masikioni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app