Magema Jr JF-Expert Member Apr 22, 2020 1,299 1,201 Oct 27, 2020 #1 Wakuu,unanufaika nini na Samsung yako tofauti na watumiaji wa simu tofauti? Changamoto kuu ya simu hizi kwangu ni storage yani daah, nachukia balaaa🤔🤔😂
Wakuu,unanufaika nini na Samsung yako tofauti na watumiaji wa simu tofauti? Changamoto kuu ya simu hizi kwangu ni storage yani daah, nachukia balaaa🤔🤔😂
mkorinto JF-Expert Member Jun 11, 2014 30,695 37,295 Oct 27, 2020 #2 hii ndio bland ambayo samsung alipuyanga kupita zote. sijui kama atakuja kutoa boko kama hili tena.
Magema Jr JF-Expert Member Apr 22, 2020 1,299 1,201 Oct 27, 2020 Thread starter #3 mkorinto said: hii ndio bland ambayo samsung alipuyanga kupita zote. sijui kama atakuja kutoa boko kama hili tena. Click to expand... daah hakika nilipigwa
mkorinto said: hii ndio bland ambayo samsung alipuyanga kupita zote. sijui kama atakuja kutoa boko kama hili tena. Click to expand... daah hakika nilipigwa