"wanaotetea vyama visivyo na dira wana lengo la kuimaliza tanzania"

Rabi wa Leo

Senior Member
Mar 5, 2012
104
25
Ni vema tukijikumbusha kuwa,Katika Uchaguzi mkuu 2010,tulikua na takribani vyama 21 vilivyokua vinashiriki ktk nyanja tofauti.Lakini leo ukimwomba mtu akutajie vyama anavyovijua havizidi vitano.Wakati fulani ni lazima tutambue kua,vipo vyama vya siasa ambavyo ama VIMEPOTEZA DIRA ama HAVINA KABISA DIRA na nia ya dhati kuleta mabadiliko.Hii inaweza kuthibitishwa na yafuatayo;
>Hatuvioni katika kukemea uovu dhidi ya wananchi,
>havitoi matamko yenye mshiko juu ya matukio makubwa katika nchi,
>HAVINA OFISI POPOTE,nyaraka zao zinapatikana majumbani mwa viongozi wa chama
>Havina viongozi makini wenye tumaini la kubadili hali mbaya popote inapotokea
>Vimejengwa katika misingi imara ya Kidini,kindugu,kikabila,kikanda au kiimani
>Havina itikadi imara za kukitambulisha
>Katiba zao zinabaki siri kwao peke yao
Pamoja na hayo,vyama hivi vinashiriki katika Chaguzi mbalimbali za nchi na bado vina wafuasi wanaoweza pia wafuasi kwa katika misingi ile ile ya Kidini,kindugu,kikabila,kikanda au kiimani.
SWALI LANGU:
Mnaovisupport vyama hivi,mna lengo la kuiponya au kuiangamiza Tanzania?
 
wakati mwingine kwa support tunazotoa vinaweza kumpeleka kiongozi dhaifu bungeni,umeya katika halmashauri na nafasi nyingine muhimu..hali hii ikitokea unaweza kutabiri nini kitafuata..
 
Na vipo vingine ambavyo ni 'VIKONGWE' na vimekwepo kwa muda mrefu lakini vinapoteza dira kabisa.tunaovisupport tunajenga au tunabomoa?
 
Ni vema tukijikumbusha kuwa,Katika Uchaguzi mkuu 2010,tulikua na takribani vyama 21 vilivyokua vinashiriki ktk nyanja tofauti.Lakini leo ukimwomba mtu akutajie vyama anavyovijua havizidi vitano.Wakati fulani ni lazima tutambue kua,vipo vyama vya siasa ambavyo ama VIMEPOTEZA DIRA ama HAVINA KABISA DIRA na nia ya dhati kuleta mabadiliko.Hii inaweza kuthibitishwa na yafuatayo;
>Hatuvioni katika kukemea uovu dhidi ya wananchi,
>havitoi matamko yenye mshiko juu ya matukio makubwa katika nchi,
>HAVINA OFISI POPOTE,nyaraka zao zinapatikana majumbani mwa viongozi wa chama
>Havina viongozi makini wenye tumaini la kubadili hali mbaya popote inapotokea
>Vimejengwa katika misingi imara ya Kidini,kindugu,kikabila,kikanda au kiimani
>Havina itikadi imara za kukitambulisha
>Katiba zao zinabaki siri kwao peke yao
Pamoja na hayo,vyama hivi vinashiriki katika Chaguzi mbalimbali za nchi na bado vina wafuasi wanaoweza pia wafuasi kwa katika misingi ile ile ya Kidini,kindugu,kikabila,kikanda au kiimani.
SWALI LANGU:
Mnaovisupport vyama hivi,mna lengo la kuiponya au kuiangamiza Tanzania?

85% ya maelezo yako - especially heading - yana-define ccm! Haya wana magamba tuambieni!
 
85% ya maelezo yako - especially heading - yana-define ccm! Haya wana magamba tuambieni!

Sijawa specific sana,ila kwa kuwa tunao wafuasi wa vyama mbalimbali,kila mtu akiexamine chama chake atupe mawazo.najua WAPO WASIO NA VYAMA..wao pia watupe mawazo yao juu ya huu ufuasi wa mkumbo usiotazama ufanisi.
 
hao tisa kumi ni wanaosapoti ccm,kwangu mimi ni bora tpp maendeleo kuliko ccm.
uchafu uliofanyika arumeru mwenyekiti wao kaweka baraka zote na huyohuyo ndiye rahis wetu(hata kama hatutaki)
leo kuwa mwanachama hata wa anc hata kama si ya nchi hii mi naona sawa tu maana utakuwa umeiponya roho yako na unafiki,wizi na dhulma dhidi ya tanzania na watu wake.
 
Ni vema tukijikumbusha kuwa,Katika Uchaguzi mkuu 2010,tulikua na takribani vyama 21 vilivyokua vinashiriki ktk nyanja tofauti.Lakini leo ukimwomba mtu akutajie vyama anavyovijua havizidi vitano.Wakati fulani ni lazima tutambue kua,vipo vyama vya siasa ambavyo ama VIMEPOTEZA DIRA ama HAVINA KABISA DIRA na nia ya dhati kuleta mabadiliko.Hii inaweza kuthibitishwa na yafuatayo;
>Hatuvioni katika kukemea uovu dhidi ya wananchi,
>havitoi matamko yenye mshiko juu ya matukio makubwa katika nchi,
>HAVINA OFISI POPOTE,nyaraka zao zinapatikana majumbani mwa viongozi wa chama
>Havina viongozi makini wenye tumaini la kubadili hali mbaya popote inapotokea
>Vimejengwa katika misingi imara ya Kidini,kindugu,kikabila,kikanda au kiimani
>Havina itikadi imara za kukitambulisha
>Katiba zao zinabaki siri kwao peke yao
Pamoja na hayo,vyama hivi vinashiriki katika Chaguzi mbalimbali za nchi na bado vina wafuasi wanaoweza pia wafuasi kwa katika misingi ile ile ya Kidini,kindugu,kikabila,kikanda au kiimani.
SWALI LANGU:
Mnaovisupport vyama hivi,mna lengo la kuiponya au kuiangamiza Tanzania?
Hata MBUYU ulianza kama MCHICHA
 
Back
Top Bottom