Rabi wa Leo
Senior Member
- Mar 5, 2012
- 104
- 25
Ni vema tukijikumbusha kuwa,Katika Uchaguzi mkuu 2010,tulikua na takribani vyama 21 vilivyokua vinashiriki ktk nyanja tofauti.Lakini leo ukimwomba mtu akutajie vyama anavyovijua havizidi vitano.Wakati fulani ni lazima tutambue kua,vipo vyama vya siasa ambavyo ama VIMEPOTEZA DIRA ama HAVINA KABISA DIRA na nia ya dhati kuleta mabadiliko.Hii inaweza kuthibitishwa na yafuatayo;
>Hatuvioni katika kukemea uovu dhidi ya wananchi,
>havitoi matamko yenye mshiko juu ya matukio makubwa katika nchi,
>HAVINA OFISI POPOTE,nyaraka zao zinapatikana majumbani mwa viongozi wa chama
>Havina viongozi makini wenye tumaini la kubadili hali mbaya popote inapotokea
>Vimejengwa katika misingi imara ya Kidini,kindugu,kikabila,kikanda au kiimani
>Havina itikadi imara za kukitambulisha
>Katiba zao zinabaki siri kwao peke yao
Pamoja na hayo,vyama hivi vinashiriki katika Chaguzi mbalimbali za nchi na bado vina wafuasi wanaoweza pia wafuasi kwa katika misingi ile ile ya Kidini,kindugu,kikabila,kikanda au kiimani.
SWALI LANGU:
Mnaovisupport vyama hivi,mna lengo la kuiponya au kuiangamiza Tanzania?
>Hatuvioni katika kukemea uovu dhidi ya wananchi,
>havitoi matamko yenye mshiko juu ya matukio makubwa katika nchi,
>HAVINA OFISI POPOTE,nyaraka zao zinapatikana majumbani mwa viongozi wa chama
>Havina viongozi makini wenye tumaini la kubadili hali mbaya popote inapotokea
>Vimejengwa katika misingi imara ya Kidini,kindugu,kikabila,kikanda au kiimani
>Havina itikadi imara za kukitambulisha
>Katiba zao zinabaki siri kwao peke yao
Pamoja na hayo,vyama hivi vinashiriki katika Chaguzi mbalimbali za nchi na bado vina wafuasi wanaoweza pia wafuasi kwa katika misingi ile ile ya Kidini,kindugu,kikabila,kikanda au kiimani.
SWALI LANGU:
Mnaovisupport vyama hivi,mna lengo la kuiponya au kuiangamiza Tanzania?