muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,427
- 9,924
Allan Mulumba akiwa na wana ikibinda nkoi....those good dayz...Mwenge Mwenge shilingia mia tu kuwaona wana diamond kimarumaru.
Allan Mulumba akiwa na wana ikibinda nkoi....those good dayz...Mwenge Mwenge shilingia mia tu kuwaona wana diamond kimarumaru.
Yeah eneo zote hizo full miumeme,ukijifanya kuku kishingo lazima uikanyage.Silent inn Mwenge na, Kilitime Shekhilango pale wengi wamepotea.. na Ukimwi ndio ulikuwa grade one
Mkuu uwe na huruma.Ni jambo linalohitaji ushujaa sana "kumkangaa photo" kiumbe aliyefilisika.Unaweza kupigwa ngumi.Hahahahahahahaaaa!
Masilingi alimuachia benzi kali toka ikulu, kwaajili ya watoto, kazoba namkumbuka sana rwegasira kaja akadai mi sijui km hamjapewa mishahara.kafungua briefcase unaitwa jina unachukua chako.Wewe ulimuweza madreva wake Hamis, Sos, na Sadiki waliambulia patupu aliwakopa mishahara mwaka hivi, yaani Jamaa alikuwa mpigaji hatari, unamkumbuka mamvi Kazoba? Hiyo alipewa gari nyekundu kazi yake ikikuwa kuleta watoto wazuri kwa Rewega na Mh. Masiringi. Hawa Jamaa walikuwa hatari. Nakumbuka hata Mwenge eneo hilo silent inn alitapeliwa
Aliyekula pesa ya Saida ni FM Felicien Muta,Mshana hao mtu mbili tofauti na muta ndio akaanzisha fm muziki baadae ikawa pinzani na Diamond musica iliyokuwa ya rwegasira na hiyo FM musica ilikua inaitwa bogoss musica kenya huko na ilikua bendi ya asha baraka 92 wakashindwana kimaslahi ndo wakamkimbia kwenda Kenya ikiongozwa na huyo Nyoshi el sadaat.Laana ya dhuluma... Alikula sana pesa ya Saida huyu
Jr
Aliyekula pesa ya Saida ni FM Felicien Muta,Mshana hao mtu mbili tofauti
Yaliothiriwaunamkosoa mwenzako kwenye matamshi yaliothiriwa na lugha mama ikiwa na wewe una tatizo kama lake!!
Kikari!!!!
Wewe mwenyewe ni NGUMBARO. Sasa NIAJILIWE ndio nini??Niajiliwe na mtu aliyemaliza chuo kikuu halafu hajui kuandika? Big No
Sijui km kufulia,mdau ndo kasema ila mara ya mwisho nakumbuka aliokoka akafungua kanisaKwahyo ni kweli Rwegasira kafulia? Daah umenikumbusha mbali sana enzi hizo na akina Masilingi!!
Ama kweli wakati ukuta!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kweli ngumbaro tu na elimu yangu ya lasaba, sasa mtu wa university inakuwaje anaandika kama mimi wa lasaba?
Tukulale wapi na silent inn ×2Mwenge Mwenge shilingia mia tu kuwaona wana diamond kimarumaru.
Diana Aston VILLA ndio mama wa yule mtoto Small Jobiso?Wapi pa paa mrumba kashama mkuu Wa majeshi, Lilian internet, kamuke sukari , Diana asyonvila, elly longomba, ely kinyama, Jesus, JoJo jumaine, Neeema kumbuka, kupataaa ni majaliwa
sasa si ndio uweke na kapicha ili tujifunze!!Animeona noma yaani uwezi amini amebaki kichwa tu. Ule uchokaji ni hatari aisee
Duh! Namshukuru Mungu niliponea chupuchupu! Maana si kwa bata lile!Yeah eneo zote hizo full miumeme,ukijifanya kuku kishingo lazima uikanyage.
Huu Uzi umejaa ma_legend wa kula bata enzi hizo! Mko wapi tulianzishe au mmeishakuwa watu wazima mko mnalea vijukuu? Mimi bado nadai saana!Aliyekula pesa ya Saida ni FM Felicien Muta,Mshana hao mtu mbili tofauti na muta ndio akaanzisha fm muziki baadae ikawa pinzani na Diamond musica iliyokuwa ya rwegasira na hiyo FM musica ilikua inaitwa bogoss musica kenya huko na ilikua bendi ya asha baraka 92 wakashindwana kimaslahi ndo wakamkimbia kwenda Kenya ikiongozwa na huyo Nyoshi el sadaat.
😂😂😂😂😂 tumezeeka kishenzi, bata zenyewe mnakula wapi siku hiziHuu Uzi umejaa ma_legend wa kula bata enzi hizo! Mko wapi tulianzishe au mmeishakuwa watu wazima mko mnalea vijukuu? Mimi bado nadai saana!
Sijui km kufulia,mdau ndo kasema ila mara ya mwisho nakumbuka aliokoka akafungua kanisa