Wanaotaka kuondoka CCM waondoke watuachie CCM yetu

Eberhard

JF-Expert Member
Dec 20, 2010
1,120
757
Kumekuwa na kelele nyingi sana juu ya watu kutaka kuondoka CCM kwa sababu ya mwenyekiti kumsafisha RC Makonda.

Mimi nasema ondokeni tente ikibidi ondokeni haraka. Musee mawaziri ondokeni, muwe wabunge ondokeni. Ondokeni mtuachie CCM yetu.

Mimi naunga mkono kauli ya rais na Mwenyekiti wa chama.

Makonda amepigana sana kuhakikisha vijana hawaangamii kwa madawa ya kulevya. Najiuliza kwa nini kauli za kumsakama Makonda zianze baada ya yeye kuwataja wauza unga?

CCM ni imara itabaki kuwa imara.
 
Sheria haisemi mtu akifanya mema asamehewe, kama ni hivyo wale walioitumikia Tanzania baada ya uhakiki wa vyeti wakanyimwa mafao yao wangepewa maana wameitumikia nchi yao.

Na kuhusu ukaguzi swala la cheti cha makonda umeanza wakati wa kuwataja wauza unga, kila itu na mda wake ndo maana hata wafanyakazi wengine wametumikia kipindi cha mkapa, wakatumikia cha kikwete na wakaja tumbuliwa kwenye utawala huu.

[HASHTAG]#SHERIAIFATEMKONDOWAKE[/HASHTAG]
 
Wewe na we ni ccm? CCM nape nauye anaetoa kauli leo sio nyie mnaorandaranda na magunia ya kijani, "makonda amepigana sana" amepiginia nini? madawa ya kulevya yanahitaji mkakati wa kiume sio kukurupuka tu unafikiri issue ya madawa ni sawa na ile ya kufukuza malaya sinza? eti "mtuachie ccm" una CCM wewe?
 
Kumekuwa na kelele nyingi sana juu ya watu kutaka kuondoka ccm kwa sababu ya mwenyekiti kumsafisha RC Makonda.

Mimi nasema ondokeni tente ikibidi ondokeni haraka. Musée mawaziri ondokeni, muwe wabunge ondokeni. Ondokeni mtuachie ccm yetu.

Mm naunga mkono kauli ya rais na mwenyekiti wa chama.

Makonda amepigana sana kuhakikisha vijana hawaangamii kwa madawa ya kulevya. Najiuliza kwa nini kauli za kumsakama Makonda zianze baada ya yeye kuwataja wauza unga ?

Ccm ni imara itabaki kuwa imara.
weka akiba ya maneno, ooh
 
Duh, matatizo hayakimbiwi, kujiuzulu ni njia ya mwisho kabisa! Wanaume huwa wanaweka hoja mezani!
 
Ebenhard Mpunga,umekuwa doro sana,inamaana na ukufunzi wako unatetea wizi wa vyeti?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom