Wanaotaka kubinafsisha mashirika ya umma yaliyosalia ni watu hatari kwa taifa

kmbwembwe

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
10,418
7,206
Kuna watu wabinafsi na walaku wa mali kupindukia ambao badala ya huo ulaku na ubinafsi kuutumia kutafuta mali zao wanafikiria kupora mali za umma.
Ubinafsishaji wa mashirika mengi ya umma ulifanyika awamu ya mkapa. Yapo yalibinafsishwa vizuri na yapo mengi vigogo waliyapora wala hawakuyaendeleza badala yake wakakopea fedha kutoka mabenki na kugeuza majengo bohari au kutelekeza hivyo viwanda.
Kuna mashirika ubinafsishaji ulishindikana kutokana na ukubwa wake uwekezaji uliyofanyika na serikali na aina ya huduma na pia yanahusika na usalama au uhuru wa nchi yetu.
Kuna majaribio yalifanyika kubinafsidha mashirika kama hayo taifa likaishia kutapeliwa na kuibiwa bila wala kupata ufanisi wowote. Mwisho wake ikawa serikali kuyarejesha mashirika kama hayo kwenye uthibiti wa serikali.
Mfano wa mashirika kama hayo kwa siku za karibuni ni tanzania sisal corporatio ambalo uchunguzi ulionyesha liliporwa tu wala halikununuliwa. Kuna ttcl ambapo mnunuzi wa hisa alifanya ubabaishaji tu na kupora kampuni ya shirika hilo ya simu za mikononi celltell. Wala hakuongeza ubora wowote. Kuna tanesco tuliweka muendeshaji kutoka afrika kusini. Hakika hakuongeza thamani yoyote zaidi kulichuna shirika tu. Kuna shirika la reli trc. Huu ubinafsishaji ulikua wa ovyo tu na kuigeuza nchi tegemezi. Eti servive ya vichwa ikawa vinapelekwa india wakati tuna karakana kabambe dar morogoro na tabora. Wahindi wakauza majengo na assets chungu mzima za reli hadi walivyotimuliwa. Kuna ule mradi wa kuzalisha umeme kwa makaa ya mawe mbeya. Nako tulipigwa hadi imebidi kurejeshwa serikalini.
Kwanza tujue kuna vitu ukibinafsisha hasa kwa wageni ni hatari kwa usalama na uhuru wa nchi. Kuna shughuli ndio mhimili wa maendeleo ya nchi. Ni mambo matokeo yake ni ya muda mrefu. Muwekezaji binafsi hawezi kua na malengo sawa na serikali. Vinginevyo hiyo serikalu haina maslahi ya wananchi wake.
Mashirika mhimili wa uchumi kama ttcl tanesco trc atcl na mengine kama ya maji etc sio mambo ya kubinafsisha kiholela. Vinginevyo ltakua kupigwa na wajanja wanaoshirikiana na wageni. Ni ujinga kuumwa na nyoka mara ya pili hadi tatu. Vinginevyo umma wataamua hili wimbi la wahuni kurejeshwa kuongoza tena.
 
Kuna watu wabinafsi na walaku wa mali kupindukia ambao badala ya huo ulaku na ubinafsi kuutumia kutafuta mali zao wanafikiria kupora mali za umma.
Ubinafsishaji wa mashirika mengi ya umma ulifanyika awamu ya mkapa. Yapo yalibinafsishwa vizuri na yapo mengi vigogo walitapora wala hawakuyaendeleza badala yake wakakopea fedha kutoka mabenki na kugeuza majengo bohari au kutelekeza hivyo viwanda.
Kuna mashirika ubinafsishaji ulishindikana kutokana na ukubwa wake uwekezaji uliyofanyika na serikali na aina ya huduma na pia yanahusika na usalama au uhuru wa nchi yetu.
Kuna majaribio yalifanyika kubinafsidha mashirika kama hayo taifa likaishia kutapeliwa na kuibiwa bila wala kupata ufanisi wowote. Mwisho wake ikawa serikali kuyarejesha mashirika kama hayo kwenye uthibiti wa serikali.
Mfano wa mashirika kama hayo kwa siku za karibuni ni tanzania sisal corporatio ambalo uchunguzi ulionyesha liliporwa tu wala halikununuliwa. Kuna ttcl ambapo mnunuzi wa hisa alifanya ubabaishaji tu na kupora kampuni ya shirika hilo ya simu za mikononi celltell. Wala hakuongeza ubora wowote. Kuna tanesco tuliweka muendeshaji kutoka afrika kusini. Hakika hakuongeza thamani yoyote zaidi kulichuna shirika tu. Kuna shirika la reli trc. Huu ubinafsishaji ulikua wa ovyo tu na kuigeuza nchi tegemezi. Eti servive ya vichwa ikawa vinapelekwa india wakati tuna karakana kabambe dar morogoro na tabora. Wahindi wakauza majengo na assets chungu mzima za reli hadi walivyotimuliwa. Kuna ule mradi wa kuzalisha umeme kwa makaa ya mawe mbeya. Nako tulipigwa hadi imebidi kurejeshwa serikalini.
Kwanza tujue kuna vitu ukibinafsisha hasa kwa wageni ni hatari kwa usalama na uhuru wa nchi. Kuna shughuli ndio mhimili wa maendeleo ya nchi. Ni mambo matokeo yake ni ya muda mrefu. Muwekezaji binafsi hawezi kua na malengo sawa na serikali. Vinginevyo hiyo serikalu haina maslahi ya wananchi wake.
Mashirika mhimili wa uchumi kama ttcl tanesco trc atcl na mengine kama ya maji etc sio mambo ya kubinafsisha kiholela. Vinginevyo ltakua kupigwa na wajanja wanaoshirikiana na wageni. Ni ujinga kuumwa na nyoka mara ya pili hadi tatu. Vinginevyo umma wataamua hili wimbi la wahuni kurejeshwa kuongoza tena.
Sisi shida hatijawahi kuamini katika weledi, upo uwekezaji was ubia huu unanafasi ya kuleta ufanisi iwapo tu watendaji hasa wa shirika mama wakiwa ni wenye kuamini katika weledi, wazalendo wa kweli , pia wenye maslahi ya kukidhi mahitaji Yao kulingana na umuhimu wao kutekeleza malengo ya kitaifa. Kwa ukosefu wa sifa au mazingira hayo wezeshi hata wabia wanavikwa aina hiyo ya uzalendo maslahi , matokeo yake ni kukuharibu yote.
 
Hili shirika la umma lililoporwa na kubinafsisha linafikirisha sana bado sielewi why sumaye aliamua kujibinafsishia hii crdb, leo anatanua akiwa mmiliki kutokana na hisa zake karibu nusu!.
 
Hili shirika la umma lililoporwa na kubinafsisha linafikirisha sana bado sielewi why sumaye aliamua kujibinafsishia hii crdb, leo anatanua akiwa mmiliki kutokana na hisa zake karibu nusu!.
Sasa tupe hshauriwakotifanyaje, je linamchango Kwa taifa, kama la tulifute, kama linao tuone jinsi litaendelea kunufaisha taifa. Ushahri wako ni upi, nijuavyo ni Moja ya kampuni/ taasisi iliyofanikiwa Sana hapa kwetu.
 
Kuna watu wabinafsi na walaku wa mali kupindukia ambao badala ya huo ulaku na ubinafsi kuutumia kutafuta mali zao wanafikiria kupora mali za umma.
Ubinafsishaji wa mashirika mengi ya umma ulifanyika awamu ya mkapa. Yapo yalibinafsishwa vizuri na yapo mengi vigogo walitapora wala hawakuyaendeleza badala yake wakakopea fedha kutoka mabenki na kugeuza majengo bohari au kutelekeza hivyo viwanda.
Kuna mashirika ubinafsishaji ulishindikana kutokana na ukubwa wake uwekezaji uliyofanyika na serikali na aina ya huduma na pia yanahusika na usalama au uhuru wa nchi yetu.
Kuna majaribio yalifanyika kubinafsidha mashirika kama hayo taifa likaishia kutapeliwa na kuibiwa bila wala kupata ufanisi wowote. Mwisho wake ikawa serikali kuyarejesha mashirika kama hayo kwenye uthibiti wa serikali.
Mfano wa mashirika kama hayo kwa siku za karibuni ni tanzania sisal corporatio ambalo uchunguzi ulionyesha liliporwa tu wala halikununuliwa. Kuna ttcl ambapo mnunuzi wa hisa alifanya ubabaishaji tu na kupora kampuni ya shirika hilo ya simu za mikononi celltell. Wala hakuongeza ubora wowote. Kuna tanesco. tuliweka muendeshaji kutoka afrika kusini. Hakika hakuongeza thamani yoyote zaidi kulichuna shirika tu. Kuna shirika la reli trc. Huu ubinafsishaji ulikua wa ovyo tu na kuigeuza nchi tegemezi. Eti servive ya vichwa ikawa vinapelekwa india wakati tuna karakana kabambe dar morogoro na tabora. Wahindi wakauza majengo na assets chungu mzima za reli hadi walivyotimuliwa. Kuna ule mradi wa kuzalisha umeme kwa makaa ya mawe mbeya. Nako tulipigwa hadi imebidi kurejeshwa serikalini.
Kwanza tujue kuna vitu ukibinafsisha hasa kwa wageni ni hatari kwa usalama na uhuru wa nchi. Kuna shughuli ndio mhimili wa maendeleo ya nchi. Ni mambo matokeo yake ni ya muda mrefu. Muwekezaji binafsi hawezi kua na malengo sawa na serikali. Vinginevyo hiyo serikalu haina maslahi ya wananchi wake.
Mashirika mhimili wa uchumi kama ttcl tanesco trc atcl na mengine kama ya maji etc sio mambo ya kubinafsisha kiholela. Vinginevyo ltakua kupigwa na wajanja wanaoshirikiana na wageni. Ni ujinga kuumwa na nyoka mara ya pili hadi tatu. Vinginevyo umma wataamua hili wimbi la wahuni kurejeshwa kuongoza tena.
Kweli kabisa usemayo. Ubinafsishaji kiholela siyo jawabu la kukuza ufanisi wa shirika. Mashirika uliyoyataja ni mifano halisi ya hoja.
 
Niliambiwaga na mzee flani wa TISS Nyerere ilimuuma sana Mkapa alipobinafsisha NBC. Haku amini ni huyu kijana aliyemlea. Mwalimu NBC ilimuuma sana.
Shida ni pale ubinafsishaji hauna maandalizi, au umelenga kunipatia hasa upande was mwenye uamuzi wa kufanya uamuzi was ubinafsishaji. Kwani mfumo huu upo duniani, na unaleta ufanisi, pale penye Nia za dhati za kuboresha na kuongeza ufanisi na weledi.
 
Hii ndiyo ainha ya michango kwenye mada muhimu kama hii unayoweza, kuweka tu kineno kimoja ili uonekane nawe upo.

Kuna umuhimu gani wa kuwataja, kwani hayo mashirika aliyoyatolea mfano hayakubinafsishwa? Hujui yalibinafsishwa lini? Hujui ufanisi wake ulivyokuwa baada ya kubinafsishwa?

Nenda kawatafute wewe hao unaotaka wataje, kwani ni vigumu ukitaka kujua ni akina nani walikuwa wanashikilia nafasi za maamuzi wakati huo?
 
Hii ndiyo ainha ya michango kwenye mada muhimu kama hii unayoweza, kuweka tu kineno kimoja ili uonekane nawe upo.

Kuna umuhimu gani wa kuwataja, kwani hayo mashirika aliyoyatolea mfano hayakubinafsishwa? Hujui yalibinafsishwa lini? Hujui ufanisi wake ulivyokuwa baada ya kubinafsishwa?

Nenda kawatafute wewe hao unaotaka wataje, kwani ni vigumu ukitaka kujua ni akina nani walikuwa wanashikilia nafasi za maamuzi wakati huo?
Wewe ni muoga sana!
 
Mashirika mhimili wa uchumi kama ttcl tanesco trc atcl na mengine kama ya maji etc sio mambo ya kubinafsisha kiholela. Vinginevyo ltakua kupigwa na wajanja wanaoshirikiana na wageni. Ni ujinga kuumwa na nyoka mara ya pili hadi tatu. Vinginevyo umma wataamua hili wimbi la wahuni kurejeshwa kuongoza tena.
Mkuu kmbwembwe, ninakubaliana nawe katika mada yako hii kuhusu tabia za utapanyaji wa mali za waTanzania kwa baadhi ya viongozi tulionao.
Wengi wa hawa viongozi ndio chanzo kikubwa cha mashirika ya umma kutofanya vizuri kwa kushindwa kusimamia uendeshaji wa mashirika hayo, halafu ndio watu wa kwanza utawasikia wakipayuka kwamba serikali ijitoe katika uendeshaji wa shughuli za kibiashara, hata sehamu ambazo ni wazi biashara itakuwa ni kuwaumiza wananchi.

Viongozi hawa ndio watu wanaoshirikiana na sekta binafsi kuhujumu juhudi za serikali kuwahudumia wananchi. Pale mashirika yanapobinafsishwa, hao hao waliopewa jukumu la uendeshaji wa mashirika hayo ndio hao hao wanaotafuta serikali iwawezeshe kuyaendesha, huku wakiikamua serikali kwa kila njia.

Dalili zilizopo sasa ni kwamba watu hawa wamerudi kwa kasi kubwa serikalini na kwa kweli ni kama hawana subira tena na wala hawaoni aibu kuonyesha umafia wao.
Ni watu hao hao wanaopiga kelele juu ya bandari ya Bagamoyo. Ni hao hao wanaoizonga kama mainzi TANESCO kwa sasa hivi, na ni hao hao wanaotafuta kubadili mwelekeo kwenye SGR.

Nikubaliane kiaina na mtu mmoja mnafiki aliyepo humu JF, kwa jina la 'Johnthebatist' kwamba njia nzuri tuliyobaki nayo ni kuwataja bayana hawa watu kila mara wanapotafuta kuleta mambo yasiyokuwa ya manufaa kwa taifa letu.

Ni vyema kabisa hawa watu sasa tuwe mstari wa mbele kuwataja kila wanapofanya haya mambo. Januari mMakamba, kwa upande wangu naona ni mmoja wa watu ambao wanalitafutia shari taifa letu. Hata huyu aliyetangaza "kufungua nchi" ambayo yeye akiwa mmoja wa viongozi ilikuwa "nchi imefungwa" bila ya kusema jambo, naye ni lazima tunapoweza tueleze maana yake ya "kufungua nchi" ni nini.

Yeye atageuza vipi mwelekeo wa nchi wakati hajapigiwa kura za wananchi kumpa idhini ya kutaka kwenda huko anakotaka kuipeleka? Malaka hayo kayatoa wapi? Kurithi tu nafasi ya kiongozi aliekuwa juu yake ndiyo iwe tiketi ya kubadili mwelekeo mzima wa nchi?

Dawa nzuri iliyopo sasa ni "Kuwataja bayana" hawa mawakala wa maadui wa nchi yetu kila mara wanapofanya uharamia wao.
 
Binafsi nataka hata nchi ibinafisishwe, ili rais wa nchi hii awe mtu fulani toka Marekani ama Ulaya. Siyo haya manungayenga yanayoliongoza taifa miaka 60 bado tunaongelea changamoto ya zahanati, barabara na madawati.
 
Sasa tupe hshauriwakotifanyaje, je linamchango Kwa taifa, kama la tulifute, kama linao tuone jinsi litaendelea kunufaisha taifa. Ushahri wako ni upi, nijuavyo ni Moja ya kampuni/ taasisi iliyofanikiwa Sana hapa kwetu.
Mkuu hakuna ushauri wangu wowote kwa mashirika yaliyochukuliwa na waliokuwa wakubwa, maana akiwa waziri mkuu hakutaka kulifanya lifanikiwe ila amelifanya liwe lake ndipo lifanikiwe

Mimi namlaumu late Mkapa ndiye chanzo cha haya yote hakutaka three quarters situation win kwa government institute ila alileta 0 win, i mean kuuza au kugawa.
 
Back
Top Bottom