Wanaoshabikia maendeleo anayofanya Rais Magufuli na kudhihaki Marais waliopita, Je wana akili timamu kweli?

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,653
Ninashindwa kuwaelewa hawa vijana wa sasa na hata wazee unaokuta wanashabikia kuwa JPM anafanya mambo ambayo wengine walishindwa. Najiuliza huwa wanaakili timamu kweli?

Kwanza kabisa hivi wanapochagua kiongozi, huwa wanategemea afanye nini? Je afanye ya wenzake waliopita au aboresho maendeleo aliyoyakuta?

Leo unakuta jitu zima linashabikia et JPM kanunua ndege lakini wengine hawakuweza. Wanasahau kuwa izo ndege leo zinatua kwenye viwanja ambavyo wenzao walijenga. Ukiwauliza hata faida za izo ndege mpaka sasa hawawezi kukueleza. Nakumbuka awamu ya JK. Watu tulipanda ndege mpaka kwa elf 90. Na zilikuwa ndege za shirika binafsi. Tukategemea labda manunuzi ya ndege za taifa bei ingeshuka hadi hata elfu 50 kutokana na promo zinazopewa. Ila angalia bei zilivyoopanda hivi sasa.

Leo mtu anashabikia kuwa JPM kaweza kufanya elimu bure shule za msingi hadi secondary. Wanaponda marais waliopita kuwa walishindwa hili. Wanasahau ni wakinanani walijenga hizo shule. MKAPA alijenga shule za kata za primary. JK alijenga shule za kata za secondary. JPM hajajenga shule ila anatoa elimu bure katika shule walizojenga waliomtangulia.

Hivyo hivyo katika ujenzi na upanuzi wa barabara. Hivi sasa zinapanuliwa barabara mpaka njia sita. Ila waliomtangulia walizijenga hadi njia 4. Leo tunasahau waliojenga njia nne, tunashabikia anayeongeza njia mbili tu.

Leo tunashabikia madaraja, na maflyover huku tukiponda waliojenga barabara za chini au zinazounga ayo madaraja. Tunasahau bila barabara kusingekuwa na daraja. Au bila barabara ya chini, kusingejengwa barabara ya juu.

Kinachofanya niwe na mashaka zaidi na halimashauri za ubongo zao, ni pale unapojiuliza huyu JPM alikuwa serikalini miaka zaidi 20 iliyopita, na yeye anakuwa miongoni mwa wanaoquestion utawala uliopita.

Ndani ya miaka 4 deni la taifa limeongezeka kwa trilion 20. Kitu tangible unachoweza ongelea ni ununuzi wa ndege, elimu bure, ujenzi wa zahanati, SGR, na maflyover. Hizi pesa zote zinatumika wapi wakati na mapato tunaambiwa wameongezeka sanaaa????

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Watanzania tuacheni haka katabia ka kusahau mapema kiasi hiki. Hakuna mbili bila kuwa na moja.

Haka katabia ka kudhihaki viongozi waliopita na kusifia waliopo sasa sio kazuri kwa masilahi ya Umoja wa Taifa letu.
 
...mbaya zaidi hakuna investiment kubwa nadhani kwa ujumla tumefanya kama hii mikeka ambayo imewekwa kutoka "kagera mpaka mtwara". Hii ilikuwa ni "wish" ya mtu fulani kuwa mtu aweze kutoka kagera mpaka mtwara kwa starlet au bajaj. Ukiangalia kwa haraka haraka roughly 1 km inacost approx 1 billion tzs. Sasa ukiangalia kama nchi, tumeweka mtandao mkubwa sana wa barabara (ukiwa kama mfano mmoja wa vitu vilivyofanywa na awamu zilizopita) -- inastaajabisha mtu anavyofumba macho na kujisifu kwa vituo vya afya 200+ ambavyo nadhani havifikii kabisa gharama ya barabara moja tu ya Dar to Mbeya ukiweka considerations zote.

Ila "miafrika ndivyo tulivyo"
 
...mbaya zaidi hakuna investiment kubwa nadhani kwa ujumla tumefanya kama hii mikeka ambayo imewekwa kutoka "kagera mpaka mtwara". Hii ilikuwa ni "wish" ya mtu fulani kuwa mtu aweze kutoka kagera mpaka mtwara kwa starlet au bajaj. Ukiangalia kwa haraka haraka roughly 1 km inacost approx 1 billion tzs. Sasa ukiangalia kama nchi, tumeweka mtandao mkubwa sana wa barabara (ukiwa kama mfano mmoja wa vitu vilivyofanywa na awamu zilizopita) -- inastaajabisha mtu anavyofumba macho na kujisifu kwa vituo vya afya 200+ ambavyo nadhani havifikii kabisa gharama ya barabara moja tu ya Dar to Mbeya ukiweka considerations zote.

Ila "miafrika ndivyo tulivyo"
Mi naona ashukuru sana waasisi wake ni watu wenye busara sana. Sidhani kama angekuwa ni yeye anadhihakiwa ivyo angekaa kimya.
 
Bado taifa linawajinga na wapumbafu wengi sana. Na kimsingi hawampendi JPM ama kwa kusudi ama unafiki.
 
Hapo wananangana wenyewe kwa wenyewe, imagine ingekuwa wamepokea kijiti kutoka kwa upinzani 😀 😀 😀
Aisee umeongea kitu fikirishi sana. Wangeanzisha kabisa kiwanda cha majungu na umbeya kuwananga wapinzani wao. Na huo umbeya na majungu ungeandikwa kabisa "Hapa Kazi Tu" kama zile ndege zao
 
Too much of anything is harmful. Kusifia tuu na kuona mazuri tuu bila kuona mapungufu ni ukichaa, na kuponda tuu kila kitu bila kuwa na appreciatian kwa mazuri yanayofanyika pia ni ukichaa.

The right thing to do ni kusifia mazuri na kukosoa mabaya.

P
 
Ninashindwa kuwaelewa hawa vijana wa sasa na hata wazee unaokuta wanashabikia kuwa JPM anafanya mambo ambayo wengine walishindwa. Najiuliza huwa wanaakili timamu kweli?

Kwanza kabisa hivi wanapochagua kiongozi, huwa wanategemea afanye nini? Je afanye ya wenzake waliopita au aboresho maendeleo aliyoyakuta?

Leo unakuta jitu zima linashabikia et JPM kanunua ndege lakini wengine hawakuweza. Wanasahau kuwa izo ndege leo zinatua kwenye viwanja ambavyo wenzao walijenga. Ukiwauliza hata faida za izo ndege mpaka sasa hawawezi kukueleza. Nakumbuka awamu ya JK. Watu tulipanda ndege mpaka kwa elf 90. Na zilikuwa ndege za shirika binafsi. Tukategemea labda manunuzi ya ndege za taifa bei ingeshuka hadi hata elfu 50 kutokana na promo zinazopewa. Ila angalia bei zilivyoopanda hivi sasa.

Leo mtu anashabikia kuwa JPM kaweza kufanya elimu bure shule za msingi hadi secondary. Wanaponda marais waliopita kuwa walishindwa hili. Wanasahau ni wakinanani walijenga hizo shule. MKAPA alijenga shule za kata za primary. JK alijenga shule za kata za secondary. JPM hajajenga shule ila anatoa elimu bure katika shule walizojenga waliomtangulia.

Hivyo hivyo katika ujenzi na upanuzi wa barabara. Hivi sasa zinapanuliwa barabara mpaka njia sita. Ila waliomtangulia walizijenga hadi njia 4. Leo tunasahau waliojenga njia nne, tunashabikia anayeongeza njia mbili tu.

Leo tunashabikia madaraja, na maflyover huku tukiponda waliojenga barabara za chini au zinazounga ayo madaraja. Tunasahau bila barabara kusingekuwa na daraja. Au bila barabara ya chini, kusingejengwa barabara ya juu.

Kinachofanya niwe na mashaka zaidi na halimashauri za ubongo zao, ni pale unapojiuliza huyu JPM alikuwa serikalini miaka zaidi 20 iliyopita, na yeye anakuwa miongoni mwa wanaoquestion utawala uliopita.

Ndani ya miaka 4 deni la taifa limeongezeka kwa trilion 20. Kitu tangible unachoweza ongelea ni ununuzi wa ndege, elimu bure, ujenzi wa zahanati, SGR, na maflyover. Hizi pesa zote zinatumika wapi wakati na mapato tunaambiwa wameongezeka sanaaa????

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Watanzania tuacheni haka katabia ka kusahau mapema kiasi hiki. Hakuna mbili bila kuwa na moja.

Haka katabia ka kudhihaki viongozi waliopita na kusifia waliopo sasa sio kazuri kwa masilahi ya Umoja wa Taifa letu.
Kupenda sifa sana nao ni ugonjwa. Wagonjwa wa namna hii ni sycophants

Jiwe ni mpenda sifa tu hana lolote. Hata Biblia inawakataa watu kama hawa.

1 Yohana 2:16 imeandika;
Maana vitu vyote vilivyomo duniani, yaani, tamaa za mwili, tamaa ya vitu vinavyoone kana kwa macho, na kiburi kiletwacho na mali, vyote hivi havitoki kwa Baba bali hutoka ulimwenguni.

Huyu Jiwe ana msukumo wa kishetani tu, hata vile anakwenda Kanisani St Peter's ni show off tu. Hana Mungu katika matendo yake.
 
Wako baadhi ya wanaccm wanamwona jk, mwinyi Na mkapa sio lolote ila jpm.kundi hili ni walaji.wao kazi yao Ni kuruka Na aliyepo madarakani ili waweze kula vizuri.kundi hili linabeba watu wengine kuanzia mawaziri, wabunge, wakuu Wa mkoa Na hats wakuu Wa wilaya.Kwa mtazamo wangu kundi hili Ni hatari.
 
Too much of anything is harmful. Kusifia tuu na kuona mazuri tuu bila kuona mapungufu ni ukichaa, na kuponda tuu kila kitu bila kuwa na appreciatian kwa mazuri yanayofanyika pia ni ukichaa.

The right thing to do ni kusifia mazuri na kukosoa mabaya.

P
Kweli ngosha, ndio maana mimi NAPONGEZA SANA RELI huku nakerwa sana na NDEGE. Haya mahela ya ndege yangeelekezwa kwenye reli, usingeona madogo wanakuja kutujazia miji, wote wangebaki shamba walime.

Mwambie basi kwa kilugha kodi yangu apeleke kwenye reli, kuna kuna manufaa zaidi ya sifa.
 
Enzi za Nyerere na Mwinyi kabla hajaja na cost sharing ..... ile ndiyo ilikuwa elimu bure,
 
Ninashindwa kuwaelewa hawa vijana wa sasa na hata wazee unaokuta wanashabikia kuwa JPM anafanya mambo ambayo wengine walishindwa. Najiuliza huwa wanaakili timamu kweli?

Kwanza kabisa hivi wanapochagua kiongozi, huwa wanategemea afanye nini? Je afanye ya wenzake waliopita au aboresho maendeleo aliyoyakuta?

Leo unakuta jitu zima linashabikia et JPM kanunua ndege lakini wengine hawakuweza. Wanasahau kuwa izo ndege leo zinatua kwenye viwanja ambavyo wenzao walijenga. Ukiwauliza hata faida za izo ndege mpaka sasa hawawezi kukueleza. Nakumbuka awamu ya JK. Watu tulipanda ndege mpaka kwa elf 90. Na zilikuwa ndege za shirika binafsi. Tukategemea labda manunuzi ya ndege za taifa bei ingeshuka hadi hata elfu 50 kutokana na promo zinazopewa. Ila angalia bei zilivyoopanda hivi sasa.

Leo mtu anashabikia kuwa JPM kaweza kufanya elimu bure shule za msingi hadi secondary. Wanaponda marais waliopita kuwa walishindwa hili. Wanasahau ni wakinanani walijenga hizo shule. MKAPA alijenga shule za kata za primary. JK alijenga shule za kata za secondary. JPM hajajenga shule ila anatoa elimu bure katika shule walizojenga waliomtangulia.

Hivyo hivyo katika ujenzi na upanuzi wa barabara. Hivi sasa zinapanuliwa barabara mpaka njia sita. Ila waliomtangulia walizijenga hadi njia 4. Leo tunasahau waliojenga njia nne, tunashabikia anayeongeza njia mbili tu.

Leo tunashabikia madaraja, na maflyover huku tukiponda waliojenga barabara za chini au zinazounga ayo madaraja. Tunasahau bila barabara kusingekuwa na daraja. Au bila barabara ya chini, kusingejengwa barabara ya juu.

Kinachofanya niwe na mashaka zaidi na halimashauri za ubongo zao, ni pale unapojiuliza huyu JPM alikuwa serikalini miaka zaidi 20 iliyopita, na yeye anakuwa miongoni mwa wanaoquestion utawala uliopita.

Ndani ya miaka 4 deni la taifa limeongezeka kwa trilion 20. Kitu tangible unachoweza ongelea ni ununuzi wa ndege, elimu bure, ujenzi wa zahanati, SGR, na maflyover. Hizi pesa zote zinatumika wapi wakati na mapato tunaambiwa wameongezeka sanaaa????

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Watanzania tuacheni haka katabia ka kusahau mapema kiasi hiki. Hakuna mbili bila kuwa na moja.

Haka katabia ka kudhihaki viongozi waliopita na kusifia waliopo sasa sio kazuri kwa masilahi ya Umoja wa Taifa letu.

Ndugu yangu hata ukimsaidia sana ndugu yako mwisho watakwambia siku hizi unaringa sana . We are jot contented so please just ignore and move on with your vision and mission
 
Acha wivu pumbavu zako
Ninashindwa kuwaelewa hawa vijana wa sasa na hata wazee unaokuta wanashabikia kuwa JPM anafanya mambo ambayo wengine walishindwa. Najiuliza huwa wanaakili timamu kweli?

Kwanza kabisa hivi wanapochagua kiongozi, huwa wanategemea afanye nini? Je afanye ya wenzake waliopita au aboresho maendeleo aliyoyakuta?

Leo unakuta jitu zima linashabikia et JPM kanunua ndege lakini wengine hawakuweza. Wanasahau kuwa izo ndege leo zinatua kwenye viwanja ambavyo wenzao walijenga. Ukiwauliza hata faida za izo ndege mpaka sasa hawawezi kukueleza. Nakumbuka awamu ya JK. Watu tulipanda ndege mpaka kwa elf 90. Na zilikuwa ndege za shirika binafsi. Tukategemea labda manunuzi ya ndege za taifa bei ingeshuka hadi hata elfu 50 kutokana na promo zinazopewa. Ila angalia bei zilivyoopanda hivi sasa.

Leo mtu anashabikia kuwa JPM kaweza kufanya elimu bure shule za msingi hadi secondary. Wanaponda marais waliopita kuwa walishindwa hili. Wanasahau ni wakinanani walijenga hizo shule. MKAPA alijenga shule za kata za primary. JK alijenga shule za kata za secondary. JPM hajajenga shule ila anatoa elimu bure katika shule walizojenga waliomtangulia.

Hivyo hivyo katika ujenzi na upanuzi wa barabara. Hivi sasa zinapanuliwa barabara mpaka njia sita. Ila waliomtangulia walizijenga hadi njia 4. Leo tunasahau waliojenga njia nne, tunashabikia anayeongeza njia mbili tu.

Leo tunashabikia madaraja, na maflyover huku tukiponda waliojenga barabara za chini au zinazounga ayo madaraja. Tunasahau bila barabara kusingekuwa na daraja. Au bila barabara ya chini, kusingejengwa barabara ya juu.

Kinachofanya niwe na mashaka zaidi na halimashauri za ubongo zao, ni pale unapojiuliza huyu JPM alikuwa serikalini miaka zaidi 20 iliyopita, na yeye anakuwa miongoni mwa wanaoquestion utawala uliopita.

Ndani ya miaka 4 deni la taifa limeongezeka kwa trilion 20. Kitu tangible unachoweza ongelea ni ununuzi wa ndege, elimu bure, ujenzi wa zahanati, SGR, na maflyover. Hizi pesa zote zinatumika wapi wakati na mapato tunaambiwa wameongezeka sanaaa????

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Watanzania tuacheni haka katabia ka kusahau mapema kiasi hiki. Hakuna mbili bila kuwa na moja.

Haka katabia ka kudhihaki viongozi waliopita na kusifia waliopo sasa sio kazuri kwa masilahi ya Umoja wa Taifa letu.
 
Back
Top Bottom