lord atkin
Senior Member
- Sep 30, 2018
- 197
- 683
Wanajamvi salaam!
Mwanzo nilipoona mwanasheria msomi sana Fatma Karume anatetea sana ushoga nilishtuka sana. Nilijaribu kupitia post zake Twitter mbili tatu nione hoja zake nikakutana na moja anadai ushoga au homosexuality siyo kosa nchini Tanzania ila Sodomy ndiyo kosa mimi mwenzenu hapa nilichanganyikiwa kabisa.
Baadaye nilikaa nikatulia nikiwa ni mtu ambaye sijui nishike lipi. Niliamua kukaa chini na kutafakari na kutumia ujuzi wangu mdogo wa sheria na uchanganuzi wa mambo baadaye nimekuja kubaini kuwa ni kweli nchini Tanzania USHOGA (Homosexuality) siyo kosa kisheria bali sheria inakataza sodomy. Zaidi ya hapo nimegundua sheria inayokataza Sodomy pia ni sheria kandamizi.
Sodomy ni nini? Ni kufanya mapenzi kinyume na maumbile, ukisoma kifungu cha 154 cha SOSPA kinakataza mwanaume kumuingilia mwanaume au mwanamke kinyume na maumbile, pia kinakataza mwanaume au mwanamke kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.
Sasa ushoga ni nini? Ushoga siyo tu kufanya mapenzi kinyume na maumbile. Ushoga ni hali anayokuwa nayo mtu mwilini mwake wazungu wanatumia gender identity au sexual orientation.
Hapa kuna neno linalofaa na hutumika sana kuelezea makundi ya ushoga nalo ni LGBT likiwa na maana ya Lesbians, Gay, Bisexual and Transgender.
Transgender ni wale wote ambao wana jinsia fulani lakini hawana sifa na tabia za jinsia husika na wakati mwingine hii huusisha hadi baadhi ya maumbile
Mfano unakuta mtu ni mwanaume lakini ana tabia na sifa za kike hii wakati mwingine ukimuwahi mtoto inatibika kwa kumuongezea mtoto hormone za jinsia sahihi.
Gay ni mwanaume ambaye anavutiwa kimapenzi na wanaume wenzake.
Lesbians ni wanawake wanaovutiwa kimapenzi na wanawake wenzao.
Na Bisexual ni mtu anayevutiwa kimapenzi na wanaume at the same time na wanawake.
Hitimisho.
Ushoga ni "hali" its all about what you feel inside, kufanya mapenzi against the order of nature kinyume na maumbile siyo lazima uwe shoga ndiyo maana watu wanafirana kwenye ndoa. Wengine wananajisi watoto wadogo kila siku tunasikia lakini wao siyo mashoga.
Kiufupi hakuna kosa la mtu kumtamani kimapenzi mwanaume mwenzake kwenye sheria zetu, wala hakuna kosa la mtu kuwa bisexual, ila kama mtu atamtamani mwanaume mwenzake kimapenzi na kufikia kumuingilia against the order of nature hapo ndipo kosa lilipo. Vipi kwa wale mashoga ambao ni lesbians ambao actually hawafanyi sodomy wanasagana je sheria imewagusa? Haijawagusa hata kidogo. Kusagana siyo carnal knowledge kama ilivyotumika kwenye sheria, yawezekana ikawa ni gross indecent lakini siyo sodomy wala unnatural offense.
Mwisho sheria yetu haijagusia ushoga na wala haijaukataza ana believe me kuna mashoga wengi sana huko mitaani ambao hawajafikia hatua ya kufanya sodomy, yaani unakutana na mwanaume anawatamani wanaume wenzake lakini haendi zaidi ya hapo, wengine wanafikia hata kuwashikashika wanaume wenzao kwa namna ya ajabu na hawafanyi sodomy.
Wengine wanabambiana huko kwenye daladala na mwendokasi na tunaona mpaka mtu anaerect kabisa wote huu ni ushoga na siyo kosa kisheria.
I rest my case!
Mwanzo nilipoona mwanasheria msomi sana Fatma Karume anatetea sana ushoga nilishtuka sana. Nilijaribu kupitia post zake Twitter mbili tatu nione hoja zake nikakutana na moja anadai ushoga au homosexuality siyo kosa nchini Tanzania ila Sodomy ndiyo kosa mimi mwenzenu hapa nilichanganyikiwa kabisa.
Baadaye nilikaa nikatulia nikiwa ni mtu ambaye sijui nishike lipi. Niliamua kukaa chini na kutafakari na kutumia ujuzi wangu mdogo wa sheria na uchanganuzi wa mambo baadaye nimekuja kubaini kuwa ni kweli nchini Tanzania USHOGA (Homosexuality) siyo kosa kisheria bali sheria inakataza sodomy. Zaidi ya hapo nimegundua sheria inayokataza Sodomy pia ni sheria kandamizi.
Sodomy ni nini? Ni kufanya mapenzi kinyume na maumbile, ukisoma kifungu cha 154 cha SOSPA kinakataza mwanaume kumuingilia mwanaume au mwanamke kinyume na maumbile, pia kinakataza mwanaume au mwanamke kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.
Sasa ushoga ni nini? Ushoga siyo tu kufanya mapenzi kinyume na maumbile. Ushoga ni hali anayokuwa nayo mtu mwilini mwake wazungu wanatumia gender identity au sexual orientation.
Hapa kuna neno linalofaa na hutumika sana kuelezea makundi ya ushoga nalo ni LGBT likiwa na maana ya Lesbians, Gay, Bisexual and Transgender.
Transgender ni wale wote ambao wana jinsia fulani lakini hawana sifa na tabia za jinsia husika na wakati mwingine hii huusisha hadi baadhi ya maumbile
Mfano unakuta mtu ni mwanaume lakini ana tabia na sifa za kike hii wakati mwingine ukimuwahi mtoto inatibika kwa kumuongezea mtoto hormone za jinsia sahihi.
Gay ni mwanaume ambaye anavutiwa kimapenzi na wanaume wenzake.
Lesbians ni wanawake wanaovutiwa kimapenzi na wanawake wenzao.
Na Bisexual ni mtu anayevutiwa kimapenzi na wanaume at the same time na wanawake.
Hitimisho.
Ushoga ni "hali" its all about what you feel inside, kufanya mapenzi against the order of nature kinyume na maumbile siyo lazima uwe shoga ndiyo maana watu wanafirana kwenye ndoa. Wengine wananajisi watoto wadogo kila siku tunasikia lakini wao siyo mashoga.
Kiufupi hakuna kosa la mtu kumtamani kimapenzi mwanaume mwenzake kwenye sheria zetu, wala hakuna kosa la mtu kuwa bisexual, ila kama mtu atamtamani mwanaume mwenzake kimapenzi na kufikia kumuingilia against the order of nature hapo ndipo kosa lilipo. Vipi kwa wale mashoga ambao ni lesbians ambao actually hawafanyi sodomy wanasagana je sheria imewagusa? Haijawagusa hata kidogo. Kusagana siyo carnal knowledge kama ilivyotumika kwenye sheria, yawezekana ikawa ni gross indecent lakini siyo sodomy wala unnatural offense.
Mwisho sheria yetu haijagusia ushoga na wala haijaukataza ana believe me kuna mashoga wengi sana huko mitaani ambao hawajafikia hatua ya kufanya sodomy, yaani unakutana na mwanaume anawatamani wanaume wenzake lakini haendi zaidi ya hapo, wengine wanafikia hata kuwashikashika wanaume wenzao kwa namna ya ajabu na hawafanyi sodomy.
Wengine wanabambiana huko kwenye daladala na mwendokasi na tunaona mpaka mtu anaerect kabisa wote huu ni ushoga na siyo kosa kisheria.
I rest my case!