Wanaosema 'Money Can't Buy Happiness...'!

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,031
21,499
Salaam wakuu,

Kuna huu msemo nimekua nausikia mara kwa mara watu wanasema eti money cant buy happiness ila kwangu mimi I beg to differ wakuu. Lets be realistic here, pesa ina play part kubwa sana katika kuleta furaha katika sehemu mbali mbali.

Chukulia tu mfano wa familia inayoishi katika hali a chini sana ya ufukara ambapo mlo ni laka moja tu kwa siku halafu siku moja baba kazifuma akaja nyumbani na mchele, kuku na zaga nyingine kibao akamwambia mama watoto apike pilau la maana. Hebu pata picha furaha itakayokua nayo familia hiyo kwa siku hiyo.

Hata kwenye mapenzi pesa ina play part kubwa katika kuleta furaha, mambo ya shopping out going na kila kitu ni pesa. Sometimes hata mpenzi akiwa amekukasirikia af ukaingia hata shop ukamsuprise na lingerie au unyunyu flani af ukaomba na msamaha mbona fasta tu wasamehewa?

Ki ukweli mwambite a.k.a mbombenga ni chanzo kikubwa sana cha furaha katika maisha yetu haya though I agree to disagree na wengine ambao from their other perspectives wanaona kweli money cant buy happiness.

So, what do you think mkuu?
 
I agree with you, money brings happiness

Kwa Wale ambao wamezaliwa na pesa na ambao hawakulack anything wkt wanakua lazma wabishe

Mi mtoto wa mlala hoi pesa ndo furaha yangu!
 
Mawazo kama haya unapata muda wa kufikiria na yenyewe kutamalaki katika vilindi vya ubongo wako kwa kuwa tu unaishi katika taifa fukara...
 
I think "money can't buy happiness" is a phrase used to make SOME people feel ok with their situations but the Truth is money can buy happiness but MAYBE cant buy TRUE love.
Dont come panicking on me though wale wenye hasira na maisha wa kuargue kama wanapigana..Take a chill pill before you respond to me.
 
I think "money can't buy happiness" is a phrase used to make SOME people feel ok with their situations but the Truth is money can buy happiness but MAYBE cant buy TRUE love.
Dont come panicking on me though wale wenye hasira na maisha wa kuargue kama wanapigana..Take a chill pill before you respond to me.
sure thing mkuu, anyone atakayekuvamia must be insane
 
Mawazo kama haya unapata muda wa kufikiria na yenyewe kutamalaki katika vilindi vya ubongo wako kwa kuwa tu unaishi katika taifa fukara...
kweli kaka lakini ujue hata kwa mataifa tajiri bado kuna watu wanapigika na kusaka doo, mfano mzuri Finland u cant imagine raia wanaokota makopo kama bongo kwenda kuuza for recycling!
 
money can buy happiness but cant and will never buy true happiness

true happiness is found within and not on material things

if yo happiness is bound to material things it obvious kama havipo u'll be just another sad person
 
money can buy happiness but cant and will never buy true happiness

true happiness is found within and not on material things

if yo happiness is bound to material things it obvious kama havipo u'll be just another sad person
u gotta point!
 
Ni bora kulia ndani ya VOGUE kuliko ndan ya toyo au bajajiii....af wanaosema hvo aisee hawayajui madukaa ya kwenda kuspend hela na sehem nzur za kwenda kupunguza stress,..pesa ina nafas yake bwn,,..ndo mana everymorning watu mnaamka kuitafta ili mpunguze shda za kimaisha..aka muwe na furaha
 
HAPINESS IS A CHOICE...ndo mana kuna watu wanazo n thy r soo happy,wengne hawana n they r damn happy too,na wengne hawana n they r too sad nk...so zitafute km kawaida and keep choosing hapiness everyday of ur life,utaona raha ya kuwa na hela
 
Money can NEVER buy furahaa... unaweza ukawa na pesa na usiwe na furaha hata siku moja. Pia unaweza ukawa ni fukara but very happy, pengine ni kuridhika na hali uliyonayo, who knows!!!
Binafsi pesa haiwez kuniletea furaha na kila kitu nikitakacho.
 
Pesa ina raha yake bwana...na ndio maana tunatia juhudi kuzitafuta ili furaha ya maisha ikae sawa!! Pesa ni jawabu la mambo yote
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom