Uchaguzi 2020 Wanaoratibu kampeni za CCM wana matumizi ya Fedha yasiyo na tija

pureman2

JF-Expert Member
Aug 21, 2019
1,494
2,538
Kwa siku kazaa ndani ya week hii nimezunguka kilimeta nyingi katika majiji, municipal, miji na vijiji. Kwa mshangao mkubwa nimeshangazwa na uwepo wa mabango ya mgombea nafasi ya Urais kupitia chama Cha mapinduzi -CCM Mh. John Joseph Magufuli.

Kilichonitatiza ni wingi wa mabango haya yanayomnadi mtu maarufu nchini namba moja. Kwa fursa ya nafasi ya Urais kwa muda wa miaka 5 ambaye ameshaizunguka nchi karibu yote, na kurushwa na vyombo vya habari karibu kila siku za week.

Mtu amabaye social media zote kazi yao ni ku quote alichokisema katika matukio ya kila siku wakiti akitimiza majukumu yake.

Je, mtu maarufu kiasi hiki ana haja ya kutumia billion of money kumtangaza ?

Hebu twende taratibu tufanye hesabu hii kidogo.

Tufanye kila poster ya mgombea ile ya saizi ndogo amabazo ziko nyingi kila kona ya miji na majiji inachapishwa kwa tsh 500 tu.

Kwa mabango yaliyopo jiji la Dodoma tu ni kama 10000

Then 500 x 10000=5,000,000 hapa ni city center tu, ukienda kwenye maeneo yote ya jiji na vitongoji vyake unaweza kupata gharama isiyo chini ya 50,000,000.

Fanya kwa miji yote Tanzania na vitongoji vyake kwa makadirio ya chini sio chini ya Million 500

Kwangu naona matumizi ya mabango kumnadi mtu maarufu namba one Tanzania sio tija kabisaa.
 
Kipindi cha uchaguzi ndicho ambacho maccm wanafanya wizi wa kutisha.
 
Hizi fedha ni ile trillion 2.4 iliyoibwa na Jiwe....

Hizi ni fedha za mifuko ya hifadhi ya jamii na kuwaacha maelfu ya wastaafu wakihangaikia viinua mgongo vyao bila mafanikio kwa miaka kadhaa sasa.

Wamejichotea fedha za wastaafu masikini, wanazifuja hovyo ili ziwangize madarakani tena ili waendelee kutesa wananchi....

Tukatae, tusikubali kumchagua Magufuli, CCM na watu wake....!!

Sasa baaasi, ENOUGH is ENOUGH.
 
1600022572624.jpeg
 
Pia kunna billion 20 za vitambulisho vya wajasiliamali kila mwaka zimekuwa zikikysanywa kwa ajili ya campain.

Jana nmepita pale frahisha nimeshangaa sana. Walikuwa wameandaa jukwaa. Nilivyoliangalia tu kwa haraka ni pesa ndefu sio mchezo.

Kwanza nguzo zilizotumika tu zikifatiliwa/ kuchunguzwa vizuri, zitakuwa ni za Tanesco
 
Mgombea wa CCM anahaha kujulikana na watu baada ya miaka mitano madarakani bado watu hawamjui sura yake, ndio maana mabango kila mahali, kweli awamu hii ya kishamba.
 
Ni familia masikini tuu ndo inayolalamika punde ikiona familia tajiri inatupa chakula jararani. Kipindi cha lowassa hamkuja kulialia na upuuzi kama huu wa posters sababu hela mlikuwa nayo.tafuteni hela.

Kipindi cha Lowassa alikuwa rais au ndio alikuwa anataka urais kwa mara ya kwanza? Je Magufuli ndio anautaka urais kwa mara ya kwanza? Umevamia swali bila kusoma instructions. Vilaza mnatusumbua sana.
 
Kipindi cha Lowassa alikuwa rais au ndio alikuwa anataka urais kwa mara ya kwanza? Je Magufuli ndio anautaka urais kwa mara ya kwanza? Umevamia swali bila kusoma instructions. Vilaza mnatusumbua sana.
Toa kidole matakoni katafuteni hela wapuuzi nyie.
 
Mkuu naunga hoja kwani nani asiemjua , maana ni ngum kumuona mwananchi asiejua rais wake aliemuongoza kwa miaka mitano na mbya zaidi jpm hata kabla ya kua rais alikua anafahamika sana ,so kweli kabisa kwenye mabango hakumshauri vizuri , yalitakiwa yawepo ila sio katika kiwango hiki , yanabandikwa hata sehem zisizostahili,
 
Back
Top Bottom