nimevutiwa sana na kuonyeshwa kwenye taarifa la tbc matukio ya zamani maandamano makubwa ya kulaani mauaji ya karume. Tz tangia zamani tumekuwa tunafanya maandamano ya kuunga mkono au kupinga mambo fulani. je, leo chadema wanavyofanya maandamano ya kupinga kupanda bei holela na mambo mengine ya msingi tatizo nini? wanaopinga ni waoga maana maandamano hata kabla ya uhuru yametumika sana kuwapa watz umoja na uzalendo