Wanaoning'iniza vitambulisho vya kazi nje ya ofisi zao huwa wanamaanisha nini?

Huwa nashindwa kuwaelewa jamaa ambao huwa wanatoka mazingira ya ofisi zao wakiwa bado wamening'iniza vitambulisho vyao.

Yaani utawakuta mtaani wanatembea navyo hata huko migahawani bado wanavyo tu.

Huwa inakua ni mikwara tu.

Au ni Usongo baada ya kusota mtaani Bila ajira kwa muda mrefu

Ama ni jambo la kawaida tu.
Wengi huwa hawajui hata kama wamevininginiza.Ila kwa kawaida sio sawa ni aina flani ya ushamba
 
Huwa nashindwa kuwaelewa jamaa ambao huwa wanatoka mazingira ya ofisi zao wakiwa bado wamening'iniza vitambulisho vyao.

Yaani utawakuta mtaani wanatembea navyo hata huko migahawani bado wanavyo tu.

Huwa inakua ni mikwara tu.

Au ni Usongo baada ya kusota mtaani Bila ajira kwa muda mrefu

Ama ni jambo la kawaida tu.
Hiyo ni element ya job satisfaction ulishawahi kuwaona walimu wa serikali wanafanya hivyo?
Au wakiwa kwenye shughuli zao za kawaida wanavyaa ile mifulana wanayopewa siku ya MEI MOSI? Jiulize kwann
 
Niliwahi kufanya kaz voda chini ya erolink miaka hio tulipewa access cards na kamba za voda ,wacha kabisa ile kitu ilikua haivuki shingoni na ikikaa mfukoni sharti kamba ining'inie
Nilikua natembeza rungu komredi kipepe mkaka wa voda.
Ila all in all ulikua ni utoto kipindi hicho nilikua mwaka wa pili chuo, ukiona jitu zima lina kitambi na linafanya hio makitu nilishamba ujue linashoo off.
 
Mara nyingi watu wa namna hyo ukichunguza kwa undani wanakuwa hawana sifa ya kuajiriwa kwenye hyo taasisi husika,wamepita kwa kuchomekwa chomekwa
Sasa wanakuwa hawaamini Kama wapo katika hyo nafasi....


i.e : wafanyakazi wa erolink ambao Ni customer care wa voda,walipopatiwa vitambulisho vyenye nembo ya Vodacom yaani km mgumba kapata mimba....tulipata tabu kweli
 
Niliwahi kufanya kaz voda chini ya erolink miaka hio tulipewa access cards na kamba za voda ,wacha kabisa ile kitu ilikua haivuki shingoni na ikikaa mfukoni sharti kamba ining'inie
Nilikua natembeza rungu komredi kipepe mkaka wa voda.
Ila all in all ulikua ni utoto kipindi hicho nilikua mwaka wa pili chuo, ukiona jitu zima lina kitambi na linafanya hio makitu nilishamba ujue linashoo off.
Nilikuwa nacheka Sana
 
Hawatofautiani na yule anaeninginiz funguo za gari kiunoni alafu kutwa mnakanyagana kwenye daladala
Inawezekana, sana. Labda anatoka kuchukua spea ya gari iliyoiacha gereji anakoenda kusalimia ndugu yake gari haifiki.
 
Nenda TANESCO UBUNGO, nenda MSD HQ. Staff ukisahau I'd nyumbani huruhusiwi kuingia ndani hata ulie vipi . Labda walegeze masharti sasa hivi. Nimesimuliwa na staff wenyewe pili mimi nafanya kazi karibu na ofisi mojawapo kati ya hizo nilizotaja
Hivyo wengine huvivaa kwa kuogopa kuvipoteza!!
 
We unadhani waajiri hawajui watumishi wao? Kazi ya kitambulisho ni kumtambulisha mtumishi sehem yote pale sio ofisini kwake tu.
 
Kwangu mimi binafsi sioni tatizo, ukiwa maeneo ya kazini ukivaa kitambulisho naona sahihi zaidi, kwanza inakulinda na pia inakutambulisha kwamba ni mfanyakazi
Dunia ya sasa ina visa sana, siku moja niliona jamaa aliitiwa mwizi pale sabasaba Dodoma dakika 2 nyingi jamaa anavuja damu hata nafasi ya kujitetea hakupata...
Wakuu kama upo kazini vaa kitambulisho hata kama watu wataona unataka sifa

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Mara nyingi watu wa namna hyo ukichunguza kwa undani wanakuwa hawana sifa ya kuajiriwa kwenye hyo taasisi husika,wamepita kwa kuchomekwa chomekwa
Sasa wanakuwa hawaamini Kama wapo katika hyo nafasi....


i.e : wafanyakazi wa erolink ambao Ni customer care wa voda,walipopatiwa vitambulisho vyenye nembo ya Vodacom yaani km mgumba kapata mimba....tulipata tabu kweli
We mwamba ulikua VTL nini ?
 
Back
Top Bottom