Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,668
- 40,916
Huwa nashindwa kuwaelewa jamaa ambao huwa wanatoka mazingira ya ofisi zao wakiwa bado wamening'iniza vitambulisho vyao.
Yaani utawakuta mtaani wanatembea navyo hata huko migahawani bado wanavyo tu.
Huwa inakua ni mikwara tu.
Au ni Usongo baada ya kusota mtaani Bila ajira kwa muda mrefu
Ama ni jambo la kawaida tu.
Yaani utawakuta mtaani wanatembea navyo hata huko migahawani bado wanavyo tu.
Huwa inakua ni mikwara tu.
Au ni Usongo baada ya kusota mtaani Bila ajira kwa muda mrefu
Ama ni jambo la kawaida tu.