sijui nikuite zezeta? Aggghhh!!!!!!Wandugu,
Kumekuwa na malumbano kuhusu uwezo wa JK kuongoza nchi. Wengine wanamsifu na wengine wanajuta kuwa na rais wa aina yake. Mnaonaje tukiorodhesha hapa mambo ya msingi aliyofanya jk tangu alipochukua usukani wa kuongoza nchi yetu. Wenye kumbukumbu nzuri waorodheshe hapa. Yawe ni mambo ya msingi tu.
Mbona hayo tumeshayajadili sana humu. Huna jipya, Acha uvivu na tumia sehemu ya muda wako kujikumbusha threads zilizopita, siokutaka msaada kwetu sisi wa kukukumba kwa sababu ya uvivu wako.