Wanaomtetea Kikwete waorodheshe hapa mambo ya msingi aliyofanya mpaka sasa!

Gosbertgoodluck

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
2,855
401
Wandugu,
Kumekuwa na malumbano kuhusu uwezo wa JK kuongoza nchi. Wengine wanamsifu na wengine wanajuta kuwa na rais wa aina yake. Mnaonaje tukiorodhesha hapa mambo ya msingi aliyofanya jk tangu alipochukua usukani wa kuongoza nchi yetu. Wenye kumbukumbu nzuri waorodheshe hapa. Yawe ni mambo ya msingi tu.
 
Mambo mazuri

1. Kwenda nchi za nje, kuangalia NBA na kubembea
2. Kuleta udini
3. kununua waandishi wa habari
4. Kuikuza rushwa


Mambo mabaya ya Kikwete

1. Kutaka uundwaji wa katiba mpya
2. wabunge wake kuiba kura majimboni
3

Hii nimesema kwa mujibu wa akili na brain ya Kikwete! Kwa mujibu wa akili na uwezo wangu, I wouldnt dare to discuss anything regarding the performance of Kikwete, he failed long before he though of being president!!! what more shall we discuss

Nimekutana na wanafunzi wengi wa sekondari wasichana, Jangwani, Zanaki, Tambaza, kisutu n.k YOU WILL NEVER BELIEVE THEY ADORE HIM HANDSOMELY et mzuri wa sura na anavutia, Believe me kwa mwenye akili timamu hata hawa wanaomsifia wako delusional na aidha uzuri au protocal za kirais...... watoto wa kike wameheuka kwa JK research it........

So hao wanaomsifia unaweza kukuta wengi ni baadhi ya akina dada, hata kama ID yake humu ni ya kiume, who knows?
 
-Hana dhamira ya dhati kupambana na rushwa au ufisadi
-Ana teuwa viongozi wa watu kwa misingi ya upendeleo.
-Ame asisi suala la udini nchini.
-Ali ingia madarakani kwa karamu ana safisha njia ya kubaki madarakani kwa kutumia bunduki
-
 
(i) Amedumisha uhuru wa vyombo vya habari.
nahitaji ufafanuzi kwani arusha tulishuhudia wandishi wakipata kibano, kufutiwa picha na video walizo kuwa wamerecord, juzi polisi walivamia global publisher, aliahidi hulishugulikia swala la kubenea lakini sikuona utekelezaji...
 
(i) Amedumisha uhuru wa vyombo vya habari.


How, hivi JK an nguvu ya watu kutotumiana e-mails na kupost ma document kwenye blogs?? hao waandishi wa habari wengi wanawasema wengine hawamgusi JK believe me!

Alama za nyakati kwa sasa huwezi kuzuia uhuru wa vyombo vya habari
 
(i) Amedumisha uhuru wa vyombo vya habari.
:twitch: Uhuru wa vyombo vya habari umedumishwa na watoa misaada kwa ombaomba Kikwete, ukitaka kupata misaada lazima ufuate masharti yao. Kwa hiyo hajadumisha Uhuru wa vyombo vya habari.

1. Mikataba feki
2. Rushwa imeongezeka
3. Ajira zimepungua kwa kasi
4. ufanisi wa umma umepungua kwenye serikali
5. Wizara 1 au 2 tu ndio inayotoa huduma kwa wananchi (Mambo ya Ndani, tena kwa ajili ya Passport) na Licence zilizobakia zote ni
zakifisadi kama yeye mwenyewe Kikwete
6. Mjeuri, Kiburi, Mjinga na Ana anguka hovyo kama mgonjwa wa kifafa
7. Chekacheka hovyo kama %^%&^*&%$
8. Mliliki wa Dowans
9. Ameifanya nchi yetu kuwa Maskini mara dufu
10. Wawekezaji wageni wanapewa kipaumbele kuliko wazawa
11. Mzawa hana haki ndani ya nchi yake kuliko mgeni
12. wengine mmalizie hapo maana njaa inaniuma ngoja nipike kidogo wanaJF:roll:
 
Namsifia sana JK kwa kuwa kiongozi asiyeitambua nafasi yake kwa jamii
 
Nasikitika kusema kwamba... hadi sasa sioni zaidi ya kushindwa kuwashughulikia maswahiba wake
ameachia vicheche kwenye UVCCM kuendelea kuidhalilisha CCM
hajafanya mabadiliko kwenye watendaji waandamizi wa agencies na mashirika kwasbabu wengi ni washikaji wake
ameamua kulea watendaji wabovu wa serikali kwasbabu ya "wema" wake
amemvumilia sana makamba
anabeba matatizo ya watendaji wake
 
Wandugu,
Kumekuwa na malumbano kuhusu uwezo wa JK kuongoza nchi. Wengine wanamsifu na wengine wanajuta kuwa na rais wa aina yake. Mnaonaje tukiorodhesha hapa mambo ya msingi aliyofanya jk tangu alipochukua usukani wa kuongoza nchi yetu. Wenye kumbukumbu nzuri waorodheshe hapa. Yawe ni mambo ya msingi tu.

Rais muoga anayeweza kuita FFU akiona nzi wanazunguka meza ya chakula nyumbani kwake.
 
:twitch: Uhuru wa vyombo vya habari umedumishwa na watoa misaada kwa ombaomba Kikwete, ukitaka kupata misaada lazima ufuate masharti yao. Kwa hiyo hajadumisha Uhuru wa vyombo vya habari.

1. Mikataba feki
2. Rushwa imeongezeka
3. Ajira zimepungua kwa kasi
4. ufanisi wa umma umepungua kwenye serikali
5. Wizara 1 au 2 tu ndio inayotoa huduma kwa wananchi (Mambo ya Ndani, tena kwa ajili ya Passport) na Licence zilizobakia zote ni
zakifisadi kama yeye mwenyewe Kikwete
6. Mjeuri, Kiburi, Mjinga na Ana anguka hovyo kama mgonjwa wa kifafa
7. Chekacheka hovyo kama %^%&^*&%$
8. Mliliki wa Dowans
9. Ameifanya nchi yetu kuwa Maskini mara dufu
10. Wawekezaji wageni wanapewa kipaumbele kuliko wazawa
11. Mzawa hana haki ndani ya nchi yake kuliko mgeni
12. wengine mmalizie hapo maana njaa inaniuma ngoja nipike kidogo wanaJF:roll:
Mkuu punguza hasira utaua.....ila uliyoyasema ni kweli
 
ameongeza kwa kiasi kikubwa elimu yetu kwa kutupatia shule kila kata zinazozaa ZIRO kwa kwenda mbele hadi kufikia waliofaulu kua asilimia 11. Very wonderful step in the educational sector of our country
 
Samahani wandugu nilichangia lakini nilisahau jambo moja la msingi alilofanya Jk nalo ni KUDUMISHA MSHIKAMANO NA UPENDO MIONGONI MWA WANACHAMA WA CCM. Kwa kweli hilo namsifu sana.
 
katika sekta ya michezo
1. Alimleta marcio maximo ingawa sina uhakika na perfomance yake
2. Alienda santiago barnabeu kupewa jezi ya madrid na kutuahidi real madrid itakuja bongo hadi leo hola! hatujawaona
3.Amejitahidi kuhudhuria mechi nyingi za taifa staz ila zote alizoenda tulifungwa nyingi na chache droo cjui alkuwa anahamasisha au anatisha vijana wetu!
4. Alimuita hasheem ikulu cjui ka nani wakati kuna watu wana shida wanataka kumuona rais hawapati chance
5. Alitumia bilion 3 kuwaleta brazil, tukafungwa magoli ya kutosha cha kufurahisha wimbo wa taifa uligoma haukupigwa.
KIFAMILIA
1.urais likawa jambo la familia mke wake na watoto walizunguka kumpigia kampeni kwa rasilimali za chama wakati chama kina watu waliojariwa kwa kazi hiyo.
2. Kaongeza sasa tumekuwa na title ya 1st son eg riz1

Mi ni hayo tu ingawa yako mafanikio mengine kichama, kitaifa, kidini, kijamii n.k
 
katika sekta ya michezo
1. Alimleta marcio maximo ingawa sina uhakika na perfomance yake
2. Alienda santiago barnabeu kupewa jezi ya madrid na kutuahidi real madrid itakuja bongo hadi leo hola! hatujawaona
3.Amejitahidi kuhudhuria mechi nyingi za taifa staz ila zote alizoenda tulifungwa nyingi na chache droo cjui alkuwa anahamasisha au anatisha vijana wetu!
4. Alimuita hasheem ikulu cjui ka nani wakati kuna watu wana shida wanataka kumuona rais hawapati chance
5. Alitumia bilion 3 kuwaleta brazil, tukafungwa magoli ya kutosha cha kufurahisha wimbo wa taifa uligoma haukupigwa.
KIFAMILIA
1.urais likawa jambo la familia mke wake na watoto walizunguka kumpigia kampeni kwa rasilimali za chama wakati chama kina watu waliojariwa kwa kazi hiyo.
2. Kaongeza sasa tumekuwa na title ya 1st son eg riz1

Mi ni hayo tu ingawa yako mafanikio mengine kichama, kitaifa, kidini, kijamii n.k


Duuu, kumbe kuna mambo mengi sana ya msingi aliyotufanyia watanzania!!! Ningekuwa na uwezo ningebadili katiba ili agombee tena ifikapo 2015.
 
1. Kadumisha urafiki na fisadi Rostam aziz
2. karuhusu mauaji Arusha na Mbarali
3. Kakubali kubadirishana dhahabu na vyandarua
4. Mpango wake wakutumia uislam kama njia yakuficha ujinga wake(udini)
5. Kumung'unya maneno ka baba mdogo wake makamba, hata kwenye issues sensitive za nchi
6. Katengeneza 0 & 4 by 88.1%
7. Mwanamitindo wakuonyesha mr. beautiful TZ hasa wakati wa hotuba za kitaifa.
 
maendeleo ya nchi hayawezi kutegemea nguvu ya mtu mmoja tu. ni lazima kila mmoja wetu katika nafasi yake atimize wajibu ndiyo tutaona maendeleo.
wengi humu wana mavyeo makubwa na wakati mwingi wanakuwa ni watu wa malalamiko lukuki huku wakiwa hawatimizi wajibu wao. unaweza kuona baadhi ya kero zinazoongelewa zinawahusu baadhi yetu humuhumu JF.
udhaifu wa serikali unatokana pia na udhaifu wa wananchi. historia inaonyesha nchi zilizo na maendeleo kuna push kubwa toka kwa wananchi, na watu wanafanya kazi hawakai vijiweni kama bongo.
 
Back
Top Bottom