Wanaomshangilia Makamba sasa hivi baadae watamgeuka na kumuacha peke yake, Magufuli ni kete ya ushindi wa CCM

Hadi sasa wengi wanaoshangilia juhudi za waziri mpya wa Nishati ni wafuasi wa ACT wazalendo na Mange Kimambi na kuna wanalumumba wachache pia.

Na ukiwaangalia hawa washangiliaji wengi ni chumia tumbo na wako kimkakati.

Utakapokaribia uchaguzi mkuu ndipo mtakapoiona rangi halisi ya CCM kwa sababu kazi alizofanya hayati Magufuli ndizo zitatumika kuinadi CCM na hapo itakuwa hamna namna kwa January. Na kama akizubaa atakuwa ndiye mbuzi wa kafara.

Wapiga kura wa Tanzania siyo wajinga tena wanaijua pumba na wanaujua mchele.

Maendeleo hayana vyama!
Naunga mkono hoja.
 
Magufuli atakuwaje kete ya ushindi ya CCM wakati yeye mwenyewe alikuwa anategemea kuteka, kupora kura, kupika idadi ya wapiga kura na kura? Sema zile mbinu chafu za Magufuli ndio kete iliyobaki ya CCM kubaki madarakani. Hakuna CCM tena ya kushinda kihalali kwenye box la kura. CCM inashupaza shingo tu, lakini haina uwezo tena wa kubaki madarakani.
Chuki zako dhidi ya hayati JPM zinajulikana.
 
Magufuli atakuwaje kete ya ushindi ya CCM wakati yeye mwenyewe alikuwa anategemea kuteka, kupora kura, kupika idadi ya wapiga kura na kura? Sema zile mbinu chafu za Magufuli ndio kete iliyobaki ya CCM kubaki madarakani. Hakuna CCM tena ya kushinda kihalali kwenye box la kura. CCM inashupaza shingo tu, lakini haina uwezo tena wa kubaki madarakani.
Ata nyie msiompenda magufuli mshaurini mungu wenu wa jela afuate nyayo za magufulu mtavuna viti vingi vya wabunge pengine ata kuchukua nchi.magufuli ni kama maji 2025
 
This person called makamber is simply a gay-boy who is morally and politically unqualified.

Ukiachana na mbwembwe zake za kuvaa miwani ya machinga na kuongea Kiswahili cha kinafiki, bado sijaona kama ana uwezo wowote wa kiutendaji.

Just a little boy who was privileged to rise to power through fraudulent means and favouritism without proper credentials or merits.

That being said, i believe he is too gay to be anyone — leave alone to do anything of potential value. He only sucks dicks and get fucked in the ass, that's all.
 
Magufuli atakuwaje kete ya ushindi ya CCM wakati yeye mwenyewe alikuwa anategemea kuteka, kupora kura, kupika idadi ya wapiga kura na kura? Sema zile mbinu chafu za Magufuli ndio kete iliyobaki ya CCM kubaki madarakani. Hakuna CCM tena ya kushinda kihalali kwenye box la kura. CCM inashupaza shingo tu, lakini haina uwezo tena wa kubaki madarakani.
Chadema inaelekea keko kuanzisha makazi mapya.
 
Hadi sasa wengi wanaoshangilia juhudi za waziri mpya wa Nishati ni wafuasi wa ACT wazalendo na Mange Kimambi na kuna wanalumumba wachache pia.

Na ukiwaangalia hawa washangiliaji wengi ni chumia tumbo na wako kimkakati.

Utakapokaribia uchaguzi mkuu ndipo mtakapoiona rangi halisi ya CCM kwa sababu kazi alizofanya hayati Magufuli ndizo zitatumika kuinadi CCM na hapo itakuwa hamna namna kwa January. Na kama akizubaa atakuwa ndiye mbuzi wa kafara.

Wapiga kura wa Tanzania siyo wajinga tena wanaijua pumba na wanaujua mchele.

Maendeleo hayana vyama!
Mtajuane wenyewe huko ujinini,hata ikibidi uaneni kabisa

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
mataga pori mnanyukana kweri-kweri
Wacha mafisi yauane tu
IMG-20191216-WA0001.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Magufuli atakuwaje kete ya ushindi ya CCM wakati yeye mwenyewe alikuwa anategemea kuteka, kupora kura, kupika idadi ya wapiga kura na kura? Sema zile mbinu chafu za Magufuli ndio kete iliyobaki ya CCM kubaki madarakani. Hakuna CCM tena ya kushinda kihalali kwenye box la kura. CCM inashupaza shingo tu, lakini haina uwezo tena wa kubaki madarakani.
Mafisiem bana eti yanategemea kiumbe kilichoko motoni kije kuwaokoa

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom