Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,196
- 25,516
Mabandiko yako siku zote huitaji Mkalimani. Wengine hatuna uwezo wa kuwalipa hao watu
Alishasema hawezi hama chademaKuna kundi dogo la watu ambalo linaonekana kuwa na mawazo mgando na kuwa na mtizamo hasi na Kijana wa ZZK hata kama akichangia jambo la maana kwa taifa letu. Kundi hilo linatamani kusikia tu kuwa Mh Zitto Kabwe kwa ridhaa yake mwenyewe ameamua kujivua nyazifa zake zote ndani ya chadema na pia kujivua uanachama wa chama hicho.
Hebu tuweni wazalendo Zitto naye ni Binadamu hata kama anahatarisha masilahi ya watu ndani ya chadema msimsakame kama wezi wa EPA na wafujaji wa fedha za maendeleo ya miradi ya afya, maji, elimu na kilimo.
Zitto kama mpigania rasilimali za taifa tumuunge mkono pale anapostahili na tumkosoe pale anapopotoka kwani naye ni Binadamu kama walivyo viongozi wengine ndani ya chadema na CCM@
kumsakama zitto kwa kashfa na shutuma zisizozakweli zinaboboma democracia ya kweli ndani ya nchi yetu. Tuungane pamoja kuwalaani wanaotamani kusikia Mh Zitto amejivua uwanachama wa chadema
hapo sasa ndio anawaumiza kichwa hawamtaki but hawawezi kumtimua kwa shutuma mbofumbofu kama za Ben Saanane hivyo wanakesha wakiomba utokee muujiza aseme anaachia ngazi kwa ridhaa yake mwenyeweAlishasema hawezi hama chadema
Linawasumbua Watanzania wote nikiwamo mimi
hapo sasa ndio anawaumiza kichwa hawamtaki but hawawezi kumtimua kwa shutuma mbofumbofu kama za Ben Saanane hivyo wanakesha wakiomba utokee muujiza aseme anaachia ngazi kwa ridhaa yake mwenyewe
hapo sasa ndio anawaumiza kichwa hawamtaki but hawawezi kumtimua kwa shutuma mbofumbofu kama za Ben Saanane hivyo wanakesha wakiomba utokee muujiza aseme anaachia ngazi kwa ridhaa yake mwenyewe
Nawachukia wana CCM Mafisadi niko tofauti nao kabisa cwezi ichukia CCM kwa ujumla wake kuna wazalendo pia fatilia post zangu utaligundua hilo. Hata wewe naamini utakuwa unawachukia wanachedema wabakaji wa vitoto, mafisadi wa fedha za miradi ya maendeleo, wachumia tumbo na wezi wa wake za watuNi lini ulishawahi kuichukia CCM na Ufisadi wake?Unaongelea Demokrasia na mabadiliko kama vile wewe ni mpenda mabadiliko kweli.Your previous poposts speaks louder....!
kosa langu hasa liko wapi kuweka ukweli hapa kuwa wanaomchukia Zitto wanatamani kusikia kajivua uanachama wa chadema? wewe ukiwa mweli ndani ya moyo wako utalitambua tu hilo kuwa kuna kikundi flani hapa JF wao ni kuumponda zitto kwa kila hoja anayokuja nayo na kumuita msaliti ilihali mamlaka ya kumvua uanachama hawana sasa kazi kwenu kumuomba shetani atimize ndoto zenu kwani ZZK alishasema haondoki cdmMr Emmy hivi unakumbuka mwaka ambao shetani alianza kukemewa ? Iwe msikitini au kanisani ? Ukipata jibu hebu jifikirishe kidogo kwamba kwa nini hadi leo anaendelea kukemewa tu ?
......Hata wewe naamini utakuwa unawachukia wanachedema wabakaji wa vitoto, mafisadi wa fedha za
miradi ya maendeleo, wachumia tumbo na wezi wa wake za watu
Acha umajinuni wewe! Msikitini wamkemee shetani!!? Labda kama kibla imehamia Kusini Mashariki
kosa langu hasa liko wapi kuweka ukweli hapa kuwa wanaomchukia Zitto wanatamani kusikia kajivua uanachama wa chadema? wewe ukiwa mweli ndani ya moyo wako utalitambua tu hilo kuwa kuna kikundi flani hapa JF wao ni kuumponda zitto kwa kila hoja anayokuja nayo na kumuita msaliti ilihali mamlaka ya kumvua uanachama hawana sasa kazi kwenu kumuomba shetani atimize ndoto zenu kwani ZZK alishasema haondoki cdm
Tunauzoefu sasa na jinsi nods wanavyo operate haswa wakifanya ujasusi wao kuhusiana na certain characters za wana JF wanatupa vivid evidance kama hizi za kuunganisha thread za watu wanaoyumia multiple IDshizo ni hisia zako tu Mr Emmy ni namba nyingine cwezi kuwa masalia ndani ya cdm mimi ni mwana harakati wa kweli ndani ya CCM nani mpiganaji wa kutetea wanyonge kamwe siwatetei mafisadi na majangiri
[QUOTE]hizo ni hisia zako tu Mr Emmy ni namba nyingine cwezi kuwa masalia ndani ya cdm mimi ni mwana harakati wa kweli ndani ya CCM nani mpiganaji wa kutetea wanyonge kamwe siwatetei mafisadi na majangiri
[/QUOTE]