jaruri
JF-Expert Member
- Jul 16, 2014
- 716
- 459
Tanzania ina bahati ya kupata RAIS mzalendo na mwenye uthubutu wa kufanya maamuzi magumu tena kwa wakati
Wanao mpinga RAIS ni mafisadi,watetezi we mafisadi na wanaotetea RUZUKU za vyama vyao.
Kama mtanzania maskini una kila sababu ya kuwa pamoja na RAIS kwani RAIS anashughulika na shida zetu watanzania maskini.
Wakati watoto wa wanasiasa hata wa upinzani wakisoma shule za gharama kubwa,kuna watoto wa maskini hawakuwa hata na access katika shule za kata kwa kukosa karo,,RAIS kaingia kaleta elimu bure,,Leo nitamshangaa mtanzania maskini anaempinga RAIS,,huko upinzani waachieni wenyeviti na viongozi wengine waendelee kupiga debe kwani wao ndio wanao kula RUZUKU.
Wakati wananchi maskini wakiugua na kutibiwa katika hospitali za serikali,wao wakiugua hupelekwa nje ya nchi,,RAIS kwa kuthamini uhai wa watanzania aliamua kuondoa watumishi wasio na vyeti ili kuboresha huduma kwa kutolewa katika kiwango bora cha utaalamu,,fikiria ni watanzania wangapi wamepoteza maisha kwa kutibiwa na vilaza? Yote haya RAIS aliyafanya kwa manufaa ya mtanzania mnyonge asiekuwa na sauti,yeye ndio sauti yao.Hakika Watanzania maskini mkombozi wetu ni RAIS Magufuli
Wakati dawa hazipatikani hospital in wanasiasa wangeweza zinunua popote na kwa gharama yoyote,,RAIS aliamua kuiondoa hiyo kero kwa kujenga maduka ya dawa kila mkoa na kupiga vita wizi wa dawa za serikali,,yote haya ni kwa ajili ya uhai wa mtanzania maskini.
Nadhani nikiendelea kuweka orodha ya mema ya RAIS hata bahari igeuke kuwa wino,miti iwe kalamu na mbingu ziwe karatasi hakika sitaweza andika yote,,ni mengi mno.Itoshe tu kusema kuwa Rais Magufuli ni chaguo LA Mungu kuja kumkomboa mtanzania maskini.
Jaruri@0712207633
Wanao mpinga RAIS ni mafisadi,watetezi we mafisadi na wanaotetea RUZUKU za vyama vyao.
Kama mtanzania maskini una kila sababu ya kuwa pamoja na RAIS kwani RAIS anashughulika na shida zetu watanzania maskini.
Wakati watoto wa wanasiasa hata wa upinzani wakisoma shule za gharama kubwa,kuna watoto wa maskini hawakuwa hata na access katika shule za kata kwa kukosa karo,,RAIS kaingia kaleta elimu bure,,Leo nitamshangaa mtanzania maskini anaempinga RAIS,,huko upinzani waachieni wenyeviti na viongozi wengine waendelee kupiga debe kwani wao ndio wanao kula RUZUKU.
Wakati wananchi maskini wakiugua na kutibiwa katika hospitali za serikali,wao wakiugua hupelekwa nje ya nchi,,RAIS kwa kuthamini uhai wa watanzania aliamua kuondoa watumishi wasio na vyeti ili kuboresha huduma kwa kutolewa katika kiwango bora cha utaalamu,,fikiria ni watanzania wangapi wamepoteza maisha kwa kutibiwa na vilaza? Yote haya RAIS aliyafanya kwa manufaa ya mtanzania mnyonge asiekuwa na sauti,yeye ndio sauti yao.Hakika Watanzania maskini mkombozi wetu ni RAIS Magufuli
Wakati dawa hazipatikani hospital in wanasiasa wangeweza zinunua popote na kwa gharama yoyote,,RAIS aliamua kuiondoa hiyo kero kwa kujenga maduka ya dawa kila mkoa na kupiga vita wizi wa dawa za serikali,,yote haya ni kwa ajili ya uhai wa mtanzania maskini.
Nadhani nikiendelea kuweka orodha ya mema ya RAIS hata bahari igeuke kuwa wino,miti iwe kalamu na mbingu ziwe karatasi hakika sitaweza andika yote,,ni mengi mno.Itoshe tu kusema kuwa Rais Magufuli ni chaguo LA Mungu kuja kumkomboa mtanzania maskini.
Jaruri@0712207633