Wanaomlaumu mbowe hawajui kucheza chess?

Meshacky

Member
Oct 19, 2010
50
0
kumeekuwa na lawama nyingi juu ya Mbowe kuhusu wabunge wa CDM kumsusia kikwete. Kama mtu anajua kucheza chess atakubaliana na mm kuwa hatua ya Mbowe kama KUB ilikuwa sahihi kwani hamuoni kuwa CCM imetikisika kwa hatua hiyo? Mnadhani AZAKI, wafadhili, na wapenda demokrasia wataendelea kukaa kimya baada ya hatua hiyo? kwa maana nyingine ni kuwa Mbowe na wenzake wenye msimamo wametoa fursa ya Tume ya uchaguzi na katiba mpya kuanza kujadiliwa kitu kizuri kwa msatakabali wa taifa hili. historia ya ukombozi kote ulimwenguni inaonyesha kuwa hakuna sehemu wapigania uhuru walikowezesha uhuru kupatikana bila kujihatarisha wao wenyewe na ndugu au marafiki zao.wanasema mbowe hafai kuwa KUB wajiulize kama KUB angekuwa ZItta Kobwe je CDM si ingekuwa CCM C? wadau naomba kama kuna asiyejua kucheza chess ajifunze itamsaidia sana maishani
 
kumeekuwa na lawama nyingi juu ya Mbowe kuhusu wabunge wa CDM kumsusia kikwete. Kama mtu anajua kucheza chess atakubaliana na mm kuwa hatua ya Mbowe kama KUB ilikuwa sahihi kwani hamuoni kuwa CCM imetikisika kwa hatua hiyo? Mnadhani AZAKI, wafadhili, na wapenda demokrasia wataendelea kukaa kimya baada ya hatua hiyo? kwa maana nyingine ni kuwa Mbowe na wenzake wenye msimamo wametoa fursa ya Tume ya uchaguzi na katiba mpya kuanza kujadiliwa kitu kizuri kwa msatakabali wa taifa hili. historia ya ukombozi kote ulimwenguni inaonyesha kuwa hakuna sehemu wapigania uhuru walikowezesha uhuru kupatikana bila kujihatarisha wao wenyewe na ndugu au marafiki zao.wanasema mbowe hafai kuwa KUB wajiulize kama KUB angekuwa ZItta Kobwe je CDM si ingekuwa CCM C? wadau naomba kama kuna asiyejua kucheza chess ajifunze itamsaidia sana maishani

CCM haikutikisika hata kidogo. CHADEMA walichemsa. Ona sasa wanaanza kuumbuana wenyewe???? UTOVU WA NIDHAMU tu huo.
 
Very true Meshaky, naungana na wewe maana bila hivyo kwa kweli mazungumzo juu ya katiba mpya na tume huru yangekuwa tu yanabaki kuzugumziwa kimya kimya; kwa hatua hiyo tumeshafungua historia mpya katika nchi hii; macho ya watu wengi yamefunguliwa na watu wanaanza kuangalia critically maslahi na haki zao kikatiba. Katika ni muhimu sana, maana ndio dira ya mwenendo mzima kiutendaji. Sasa kama katiba is one sided and pro one party, does it really address the multi party society of ours now?
 
Halafu katiba mpya ikipatikana wanafiki ndio watakuwa wa kwanza kuwapongeza chadema................damn!
 
Mbowe ni kiungo mchezeshaji yaani namchukulia yeye kama fabrigas kwa watu wa asernal, au kama essien kwa watu wa chelsea au kama elano kwa brazil au kama paul scholes kwa watu wa man u, au kama gerald kwa watu wa liverpool, au kama alonzo kwa watu wa r madrid, au kama xzavi kwa watu wa barca au basi kama masanja kwa zecomdey, maana yangu ni kwamba mbowe ni jemedali wa vita mzuka mzuka hatishiki haogopi haongeki hanunuliki ni balaaaaaa, ndio maana mafisadi wanatafuta upenyo hawawezi chadema imetulia mnoooooooooooooooooooooooooo, ni chama makini cha ukombozi ina washambuliaji nashindwa hata kuwapanga kwanza viti maalumu tuuu cheche tupu mziki mneee, hapo hujawagusa akina mdee, mnyika, shibuda, zitto, prof kahigi, tundu, lema, wenje, hyness, nyerere, lusindi, arfi, yule wa maswa, nasema patachimbika hapo huweka akina sugu itakuwa nooma -wakipiga makombora wanarudi kwa prof baregu na presider dr wa ukweli slaa na mkuu maranod kamanda wa sheria na utetezi
 
kumeekuwa na lawama nyingi juu ya Mbowe kuhusu wabunge wa CDM kumsusia kikwete. Kama mtu anajua kucheza chess atakubaliana na mm kuwa hatua ya Mbowe kama KUB ilikuwa sahihi kwani hamuoni kuwa CCM imetikisika kwa hatua hiyo? Mnadhani AZAKI, wafadhili, na wapenda demokrasia wataendelea kukaa kimya baada ya hatua hiyo? kwa maana nyingine ni kuwa Mbowe na wenzake wenye msimamo wametoa fursa ya Tume ya uchaguzi na katiba mpya kuanza kujadiliwa kitu kizuri kwa msatakabali wa taifa hili. historia ya ukombozi kote ulimwenguni inaonyesha kuwa hakuna sehemu wapigania uhuru walikowezesha uhuru kupatikana bila kujihatarisha wao wenyewe na ndugu au marafiki zao.wanasema mbowe hafai kuwa KUB wajiulize kama KUB angekuwa ZItta Kobwe je CDM si ingekuwa CCM C? wadau naomba kama kuna asiyejua kucheza chess ajifunze itamsaidia sana maishani

Umenena mkuu maana wote wanaolalamika na hatua ya mbowe na chadema ni wale wa siku zote, tunawafahamu hawana jipya hata kidogo.

Mbowe ndio ameifikasha chadema pale ilipo na si hao kina zito wa 2007, kujulikana 2009 anataka kuwa mwenyekiti.

Mimi najiuliza kwanini huyu kijana zito kila nafasi anataka iwe ya kwake, maana hata urais angetaka kugombea kama si kigezo cha umri.
 
Mtaji wa siasa nitofauti na mtaji wa duka, matendo yake na kauli zake zito atapendwa sana na CCM na ukipendwa na CCM wakati wewe ni mpinzani maanayake mtaji wako umesha isha....... atamfuata ndugu yake Waridi kaburu sio mda mrefu
 
Back
Top Bottom