2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Magu anajitahidi sana kupambana na hali ya maendeleo ya Tanzania kadiri awezavyo. Lakini wanazi sugu wa upinzani wanabeza na kuona kama nguvu ya soda,hili lilianza tu alipoingia madarakani kwa kukatiza safari zisizo na msingi kwa ajili ya kubana matumizi, kutembelea miradi gafla wengi walidai nguvu ya soda lakini bado mpaka leo nguvu ipo.
Mwendo kasi ulivyoanza wakadai nauli kubwa hawatapanda lakini sasa ni tegemeo kwa kila abiria wa Kimara na Mbezi.
Ununuzi wa ndege vivyo hivyo
Ufufuaji wa shirika la reli vivyo hivyo hasa kujali mikoa ya kaz kwa kipindi hiki lakini bado wanabeza na kusema atashindwa tu.
Kwa sasa kuna barabara nyingi sana na miradi mikubwa bado haijakamilika mpaka namwonea huruma huyu mzee ataweza kweli? Lakini alisema mwenyewe kuwa nchi ina HELA.
Ewe mtz unataka afanye nini utakachokipenda? Au hadi muwekewe pesa mfukoni? Binafsi kwa mambo ambayo amefanya hakuna haja ya kampeni 2020 hii ndio serikali ambayo haina ahadi za mdomoni.
Kila binadamu ana mapungufu yake hakuna mkamilifu hata m1 kama Magu naye anayo hatupaswi kumlaumu sana anapopendelea nyumbani kwake kwa kias na kubagua sehem flan ni kawaida na tumuombee iyo chuki imtoke..
Ashukuriwe kupeleka treni Moshi mana itasaidia sana kwa kanda hiyo. Lakini wachambuzi wa mambo ya kisiasa wanasema ni kama kumtupia mfupa mbwa anaekukimbiza ili umpoze na kumnyamazisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwendo kasi ulivyoanza wakadai nauli kubwa hawatapanda lakini sasa ni tegemeo kwa kila abiria wa Kimara na Mbezi.
Ununuzi wa ndege vivyo hivyo
Ufufuaji wa shirika la reli vivyo hivyo hasa kujali mikoa ya kaz kwa kipindi hiki lakini bado wanabeza na kusema atashindwa tu.
Kwa sasa kuna barabara nyingi sana na miradi mikubwa bado haijakamilika mpaka namwonea huruma huyu mzee ataweza kweli? Lakini alisema mwenyewe kuwa nchi ina HELA.
Ewe mtz unataka afanye nini utakachokipenda? Au hadi muwekewe pesa mfukoni? Binafsi kwa mambo ambayo amefanya hakuna haja ya kampeni 2020 hii ndio serikali ambayo haina ahadi za mdomoni.
Kila binadamu ana mapungufu yake hakuna mkamilifu hata m1 kama Magu naye anayo hatupaswi kumlaumu sana anapopendelea nyumbani kwake kwa kias na kubagua sehem flan ni kawaida na tumuombee iyo chuki imtoke..
Ashukuriwe kupeleka treni Moshi mana itasaidia sana kwa kanda hiyo. Lakini wachambuzi wa mambo ya kisiasa wanasema ni kama kumtupia mfupa mbwa anaekukimbiza ili umpoze na kumnyamazisha.
Sent using Jamii Forums mobile app